Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kudanganyika vipi mkuu?Mie nipo ngara usidanganyike mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudanganyika vipi mkuu?Mie nipo ngara usidanganyike mkuu
Wahangaza ni wife material kweli kweli, I can testify..kwa nliowaona na kuwashuhudiaMkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
Huwa sipendi kusimulia Ila wakati mwingine vitu hutokea kwa sababu yaLete Maneno......
Hali ni tete kwa kweli, nakutana na vitoto vingi vya singo mamaz vinaniita baba, havijawahi kuona baba zao orijino mpaka vinatia huruma. Inabidi u act tu kama baba yake ili mtoto ajisikie raha
Hee sasa si ndio jamii hiyo ya Wajita,wakurya?T
Tarime
Hiki ndicho kilichonikuta,dah! ,wazazi badala yakusuruhisha mgogoro ndio kwanza wanachochea kuni moto uwake,ila mwaka 2021 ulikuwa na mapito sana kwanguJita ukiwa na ugomvi nae ndugu wote wanakugeuka hata kama uliwasaidia wanaujuaji mwingi lkn for nothing,
Kule ujita single maza ndio kwenyewe.
Mimi ni mtu ambae maturity yangu imekua kubwa Sanaa.Hasira ni ni kweli kabisaaaa ,awe mjita sasa ama mchaga ni hatari,kuna mmoja wa kichaga mi aliniblock kisa nilikuwa namsagia kunguni yule binti wa buza kuhusu maafande,yaani alivimba kabisaaa
Bila Wapare List ni batili
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
KAma hujazaq nae shukuru na kimbia hapo sio poaHiki ndicho kilichonikuta,dah! ,wazazi badala yakusuruhisha mgogoro ndio kwanza wanachochea kuni moto uwake,ila mwaka 2021 ulikuwa na mapito sana kwangu
Waha wengi Wana ndoa ila na waha wenzaoUmewasingizia nakazia
Wewe sio Muha? Shukuru hawajakuloga maana wanakutoa live dunianiMke wangu ni muha nakubaliana na hili maana na yeye hadi familia yao wana tabia hizi hadi nimeamua kumpiga chini
Sikusomea ujinga.Ulisoma uraia aka Civics form one ,kuna aina ngapi Za familia?
haramu wamefanya wazazi wake, ndiyo maana anaitwa "mtoto wa haramu" siyo "mtoto haramu".Kwahiyo mtotk mtoto akipatikana nje ya ndoa anakua haramu jamii famili inamtenga kwenye haki zake kama mtoto mfano kama ana ndugu zake waliozaliwa ndani ya ndoa wanakua wanajaliwa zaidi na kupendwa kuliko yeye ?
Vema,sema ukajibia mtihani ujinga na ukijua ni ujinga na ndio maana ukavuna upumbavu,makofi mengi kwakoSikusomea ujinga.
Hata ya panya ni familia yako mradi wanaishi kwako.
Bad news nilizaa nae ,kumuona mtoto ananiwekea masharti kama anapiga ramli natukionana anakuwa na maelezo kama dalali,lakini najitahidi mwanangu akue akiniona mara kwa mara.KAma hujazaq nae shukuru na kimbia hapo sio poa
Mtu akiyazungumza anaonekana kama anayaponda hayo makabila ila kwa sehemu kubwa yanayozungumzwa yana akisi ukweli.Mama mkwe anamwambia binti yake alieko kwny ndoa almost 3 years, 'bora angeolewa na mchaga mwenzie kuliko kabila alilochagua'. Kisa jmaaa mambo magumu anapambana ingawa kipindi cha nyuma mambo yalikua mazuri. Sahivi apeche alolo hta wakwe hawamtaki jamaa.........hizi stori sikia tu kwa watu yasikukute
Mnawasema Wachaga ila kila siku ndoa za kuoa wachaga sasa wale wanaooa nani
Nikawaida yao yaani unyamaze tabu,ulumbane tabu,mimi sipendagi makelele akianza makelele naondokaMimi ni mtu ambae maturity yangu imekua kubwa Sanaa.
Ni mtu msikivu na mvumilivu to the maximum Ila Sasa yule mdada alinipanda KICHWANI.
Nilimpa shiti Sana na ana invoice yangu laki 6 simdai kivilee nikajiuliza huyu ndio angekua ananidai Mimi si ningeletewa PA kabisa.
sawa na wahayaHii mada inafikirisha sana nilkutana na Warangi familia moja watatu wote single maza🤔ukiacha wachaga elimu zao kubwa hayo makabila ni darasa la saba
Kuna wanyakyusa wenye elimu wanaonaga kama vile wanaweza kujitomber yan atajifanya ooh kwa Sasa sitak kuolewa nataka masters🤣Ila kupigwa miti anapigwa na vijana
Sasa wewe utakazana na majukumu ya kulea mtu ambaye sio mkeo na hana adabu. We kweli pumbunyo