Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
Ipo....
Inyonga hapo ile bar ya Eden Rock pale karibu na ofisi za Almshauri Bado ipo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inyonga hapo ile bar ya Eden Rock pale karibu na ofisi za Almshauri Bado ipo???
Kwani Single mama wote wamekimbiwa?Mimi nikilea wewe inakuuma nini? Maisha yangu wewe yanakuhusu nini? Mbona mimi sina muda na maisha yako?
Hao single mothers wangepatikana vipi kama wanaume wasingekimbia majukumu yao? Au mimba wanajipa wenyewe?
Vijana mnapambana kuwa makungwi JF.
Kuna muda Mungu huwa anatunusuru sana.nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Hii nakubariHuwa sipendi kusimulia Ila wakati mwingine vitu hutokea kwa sababu ya
"DEVINE PURPOSES"" 🏃🏃🏃🏃
Kwani Single mama wote wamekimbiwa?
Kwamba single mama ni Wajane na waliokimbiwa na Waimea zao tu?Kwahiyo mnalalamikia hadi wajane? Akili zenu hazina akili.
Kwamba single mama ni Wajane na waliokimbiwa na Waimea zao tu?
Na wagogo na warangi je?Wajita na Wachaga ni kwa sababu ya ubinafsi na mashindano ya kipumbavu
Nami huwa najiuliza, wanaponda makabila yote. Hata huko Kenya wengi ni ndugu na mipaka mingi, watu wameoana tumekuwa kama sawa tu.Sasa kama mnataja wote wa kusini, magharibi, kaskazini na kanda ya kati sasa huwa mnaoa kutoka wapi? Au mnaoa wakenya?
Kuna kabila moja huko usukumani linaitwa wanyantunzu, waulizie sifa zao.sie wengine tukitaka kuoa tunaambiwa tukaoe usukumani, ni wavumilivu ndoani
Mbele ya pesa/mali mwili wake hauna thamani.Muziki wa Wachaga dah!
Hata unilipe milioni kadhaa Mchaga kwa kweli hapana 😂
bila kuwasahau wanyirambaBila Wapare List ni batili
Kuna kipindi aliwai kuwa anafanya hasira na kuibua migogoro na wivu uliopitiliza na wakijinga jinga Mimi ni mtu mstahimilivu Sana na nimepevuka Sanaa.😁😁😁😁😁😁😁 Ni balaa yani sasa mi hua namwambia hizo hasira tafta mtu wa kukukamua nafaka hizo zimezidi mwilini. Anabaki kujisemea tu hataki usumbufu na mtu. Kashajizoelea kuishi kama mkuki
Kwani Karne ya 21 hawapo wachaga,wakurya,wamakonde,wasukuma na n.k?Wamepungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu
By Jiwe
Single mothers 💔Haya mambo hayana kanuni sikuhiz , ila epuka kuoa/kuolewa na kizaz cha single parents , kama mzaz mmoja alikufa oa tuu
Alikuwa na narcissist disorder huyo.Kuna kipindi aliwai kuwa anafanya hasira na kuibua migogoro na wivu uliopitiliza na wakijinga jinga Mimi ni mtu mstahimilivu Sana na nimepevuka Sanaa.
So akawa ananambia sijui Kama Kuna mwanaume anaweza nivumilia Ila wewe ni wapekee alikua akinambia
Binafsi sijawai ona watu visilani na wenye hasira, wivu uliopitiliza na Wana upendo wa ajabu sijui ndio upendo wa dhati.. of course nilipendwa Sana na yule mdada wa kikurya.
Hizo tabia zilinishinda na nikaweka red alarm 🚨 nikajiengua mapema yule mkurya alitumia muda mwingi mpaka ku move on kwangu.
😊 Kabila Zima linaugua huo ugonjwa sio bureeee 😂😅Alikuwa na narcissist disorder huyo.
Yah majority wana tatizo hilo ndio maana kesi za mauaji ni nyingi huko😊 Kabila Zima linaugua huo ugonjwa sio bureeee 😂😅