Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Mimi nikilea wewe inakuuma nini? Maisha yangu wewe yanakuhusu nini? Mbona mimi sina muda na maisha yako?

Hao single mothers wangepatikana vipi kama wanaume wasingekimbia majukumu yao? Au mimba wanajipa wenyewe?

Vijana mnapambana kuwa makungwi JF.
Kwani Single mama wote wamekimbiwa?
 
nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Kuna muda Mungu huwa anatunusuru sana.
 
Sasa kama mnataja wote wa kusini, magharibi, kaskazini na kanda ya kati sasa huwa mnaoa kutoka wapi? Au mnaoa wakenya?
Nami huwa najiuliza, wanaponda makabila yote. Hata huko Kenya wengi ni ndugu na mipaka mingi, watu wameoana tumekuwa kama sawa tu.
Kuna watu wengi wana tabia tofauti kabisa na makabila yanavyosemwa. Pia watu wamechanganya sana, bado hizo tabia zinatajwa!!! Hawa watu 😄😄😄😄
 
Cha ajabu naambiwa wanawake wa kabila langu ni noma nikaoe kabila jingine ili nidhamu ndoani iwepo. Mleta mada naona kaorodhesha na kabila langu
 
😁😁😁😁😁😁😁 Ni balaa yani sasa mi hua namwambia hizo hasira tafta mtu wa kukukamua nafaka hizo zimezidi mwilini. Anabaki kujisemea tu hataki usumbufu na mtu. Kashajizoelea kuishi kama mkuki
Kuna kipindi aliwai kuwa anafanya hasira na kuibua migogoro na wivu uliopitiliza na wakijinga jinga Mimi ni mtu mstahimilivu Sana na nimepevuka Sanaa.

So akawa ananambia sijui Kama Kuna mwanaume anaweza nivumilia Ila wewe ni wapekee alikua akinambia

Binafsi sijawai ona watu visilani na wenye hasira, wivu uliopitiliza na Wana upendo wa ajabu sijui ndio upendo wa dhati.. of course nilipendwa Sana na yule mdada wa kikurya.

Hizo tabia zilinishinda na nikaweka red alarm 🚨 nikajiengua mapema yule mkurya alitumia muda mwingi mpaka ku move on kwangu.
 
Kuna kipindi aliwai kuwa anafanya hasira na kuibua migogoro na wivu uliopitiliza na wakijinga jinga Mimi ni mtu mstahimilivu Sana na nimepevuka Sanaa.

So akawa ananambia sijui Kama Kuna mwanaume anaweza nivumilia Ila wewe ni wapekee alikua akinambia

Binafsi sijawai ona watu visilani na wenye hasira, wivu uliopitiliza na Wana upendo wa ajabu sijui ndio upendo wa dhati.. of course nilipendwa Sana na yule mdada wa kikurya.

Hizo tabia zilinishinda na nikaweka red alarm 🚨 nikajiengua mapema yule mkurya alitumia muda mwingi mpaka ku move on kwangu.
Alikuwa na narcissist disorder huyo.
 
Back
Top Bottom