Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Wajaluo wagawaji sana na wanatabia ya kutembea na ndugu wa ukoo
Labda umshindwe tu mwenyewe.
Wajaluo wana Ile obedience. Ukiwa dhaifu ndiyo anakudharau na anaweza kufanya mambo yasiyo ya hovyo.
 
Hii mada inafikirisha sana nilkutana na Warangi familia moja watatu wote single maza🤔ukiacha wachaga elimu zao kubwa hayo makabila ni darasa la saba

Kuna wanyakyusa wenye elimu wanaonaga kama vile wanaweza kujitomber yan atajifanya ooh kwa Sasa sitak kuolewa nataka masters🤣Ila kupigwa miti anapigwa na vijana
Yes wachaga wanajitahidi kwenda skonga na hilo linawaongezea mashauzi
Wanyakyusa vepe
sio sana
 
Kusoma sana pia kunatia uchizi
Yulo mmoja tutor kairuki natoa kodi ili ajirekebishe alisota nje amerud 40s eti yy hajaona mswahili wa kumuoa dream yake ni wazungu au warabu tena huko huko nje mda huu anatisha kama mwanaume sijui hvo akifika 50s ukimuliza nataka nice na PhD ndo niolewe hahaaaa wamechelewa kweli haw la watu

1. Sababu ya ubabe
2. Ukatili na tamaa za mali.
3. Ujeuri na uchawi
4. Sawa na namba 3 pamoja na ubishi.
5. Umalaya.
6. Chawote
7. Chawote, hawajui kukataa na wanapenda mno ngono.
8. Uvivu, uchafu na ubinafsi.
Mzee mm kwenye hayo makabila sijawah kuwa tu na Wagogo hao siwajui Ila wengine wote nilisha kuwa nao kimapenzi "Ata kielimu wengi wameishia lasaba" nafikiri kukoswa elimu nayo ni shida Waluguru walioenda shule au Wazaramo au Warangi ni wa kuhesabu
 
Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Nini kilikukuta mkuu?

Mimi kuna myantuzu huyo wa bariadi nilizaa nae firstborn kipindi hicho napiga mishe kanda ya ziwa aiseeh si mtoto wa pili kataka kunibambikia nikastuka. sasa bhana si akaenda kunichezea kimila kama kunikomoa! .acha kabisa namshukuru Mungu nilijikata mapema 5 years now na deal na firstborn wangu tu.
Wanawake wa kanda ya ziwa wanaujua uchawi.
 
Hawa wako poa sana, wife material sana tu na wachapakazi sana. Kwani Shunie yukwapi siku hizi...
Yeah ndo nipo na msambaa hapa! Kwa kweli ni kama kaponya makovu yangu mvumilivu,huruma, mchapakazi, anapenda usafi sana, haweki vitu rohoni...e.tc
 
Kuna demu wa kanda hio ya Mara ni mteja wangu. Ana mtoto mmoja ila sasa aliachwaga na huyo mwamba kwahio ni single maza. Ila kwa sasa ana hasira sana hataki kuambiwa habari za kupigwa miti😁 yani ana visasi balaa. Kwa style yake bora awe single tu ukioa nahisi kuna kupasuana nakoz mjengoni
Kwahyo mkuu bora wajita au wasukuma kidogo?
 
Back
Top Bottom