Mtu wa leo
Member
- Apr 21, 2023
- 75
- 97
Upo sahihi ndugu afu ni wabishi na wabahili balaaWaha nimeishi nao, Wana ubaguzi, ubinafsi na dharau kupita wahaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi ndugu afu ni wabishi na wabahili balaaWaha nimeishi nao, Wana ubaguzi, ubinafsi na dharau kupita wahaya
Hawa Wajita wasenge sana kuna kipind mama yangu marehemu alikuwa anaumwa kuna mjita single maza kapanga kwetu s anadaiwa kodi afu akaanza kumtukana maza kweny hali ya Ugonjwa niliwaka kichizi nilikuwa sijawah kuingilia maswala ya upangaji nilikuwa 17 years old Ila Ile siku nikamwambia ahame🤣na notice nkampa ***** wajitaJita ukiwa na ugomvi nae ndugu wote wanakugeuka hata kama uliwasaidia wanaujuaji mwingi lkn for nothing,
Kule ujita single maza ndio kwenyewe.
kuna saluni ya kike nilikuwa na kazi hapo, wenye saluni ni mabinti wa kisukuma, mzee nikaona nimepata fursa ya kupata pisi ya kisukuma, wakaniambia ni wanyantuzu waliokulia mjini. Mapigo ya pamba zao yalinikimbiza na kujiuliza lini wasukuma nao wameanza kuvaa vile?Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Kuna mmoja ameni block Wana hasira Kali sanaa...Kuna demu wa kanda hio ya Mara ni mteja wangu. Ana mtoto mmoja ila sasa aliachwaga na huyo mwamba kwahio ni single maza. Ila kwa sasa ana hasira sana hataki kuambiwa habari za kupigwa miti😁 yani ana visasi balaa. Kwa style yake bora awe single tu ukioa nahisi kuna kupasuana nakoz mjengoni
Nilipata mmasai mmoja akawa ananipa na hela kabsa Yan demu unaenda nae sehemu kama ni hotelini siku labda Niko vibaya anatoa hela kisiri siri ananipa nilipie bill Ila chief mm yakulelewa siyawezi napenda mwanamke awe chini yangu Nikampga chiniWamasai wanakubali uke wenza
Na manyanyaso
Ndo maana ni wachache wamasai wako single
Pepo huyo si Mke 😅shemeji yangu alioa huyo mke kutoka mbeya.
Sijawahi kuona hata kusikia alichokifanya mke wake huyo kutoa mbeya .
1)Alichukua chaga za kitanda wanacholalia yeye na mumewe akatoa zile mbao akapikia chakula sababu gesi ya kupikia iliisha na mumewe hakuwepo alisafiri kikazi kwenye biashara,wakiwa na ugomvi.
2) ndo ilikuwa na ugomvi wa hapa na pale sitaki nirukie hitimisho kuwa source ni nank mana ni ndoa za vijana wadogo wote eraly 30s
3)kingine kilichonishangaza ni mke kihamishia hasira kwa wototo na kuwatoa kwenye members wanufaika wategemezi wa bima yake NHIF,mwanamke asingiziwi watoto aliowazaa,hata kama alikuwa na ugomvi ma mumewe watoto asingewakasirikia.
3)mahakama baada ya ndoa kuvunjia ina amua watoto wakae na baba shemeji na kumuona mama hafai kukaa na watoto hata yule mdogo wa chini ya miaka 7,
mke kumsikiliza mchungaji zaidi ya mume na kutumia muda mwingi kusali badala ya kuhudumia familia,mtoto mdogo mpaka shemeji mumewe akawa namuhudumia mtoto mdogo kumpa chakula maziwa ,mke yupo kabisani mpaka kurudi usiku
Wajaluo wagawaji sana na wanatabia ya kutembea na ndugu wa ukooHongera sana mkuu.
Mi pia ninaye mmoja hapa pembeni yangu.
Wanawake wa kijaluo huwa hawana mawenge.
Ni watulivu, wavumilivu na wanajua kutunza ndoa, familia na ndugu wanaokuhusu.
wenye hayo makabila watatokwa povuYataje mkuu ndio maana ya discussion
Mkoa gan chief tuje🤣mimi nawakaribisha usukumani especially Mabinti wa mwanzaNdio maana niliwahi kuwaambia njooni muoe huku mikoa ya huku kwetu kuko vizuri sana...
wenye hayo makabila watatokwa povu
Kwahiyo mtotk mtoto akipatikana nje ya ndoa anakua haramu jamii famili inamtenga kwenye haki zake kama mtoto mfano kama ana ndugu zake waliozaliwa ndani ya ndoa wanakua wanajaliwa zaidi na kupendwa kuliko yeye ?Waliopatikana nje ya ndoa.
Waliopatikana nje ya ndoa.
Kabila lingine wagogo, aisee nenda vijiji vya Dom kila dem kazaa ila yupo tu anadunda mtaani hana hili wala lilew
Hata znz yyte anaetoka bara ni mnyamwezKwa upande wa wamakonde huwa mnawaonea tu kwa kutojua.
Mtu yoyote anayetoka kusini huwa anahesabika ni mmakonde.
Ila kule kuna wamwera, wayao, wamakua nk ambao ni namba chafu kuliko wamakonde
Sema mwanangu mm nafikiri kama dawa ya kurusi ni kurusi pia dawa ya hayo makabila waoane wao kwa waoHali ni tete kwa kweli, nakutana na vitoto vingi vya singo mamaz vinaniita baba, havijawahi kuona baba zao orijino mpaka vinatia huruma. Inabidi u act tu kama baba yake ili mtoto ajisikie raha kaona baba
DahMwanamke wa kijita/kikerewe mkikosana ndani yeye anatoka nje kurusha mawe na matusi. 😂😂
Mie nipo ngara usidanganyike mkuuMkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
Mkuu mbona unanitisha nilitaka kwenda ngara kutafuta mrembo wa kihangaza kuna watu humu waliwasifia kuwa ni wife material
mtoto ni mtoto tu haijalishi kazaliwa nje au ndani ya ndoa ana haki ya kupata mgao wa mali za baba yake. ni mitazamo ya kishenzi kubagua watoto wakati baba yao ni mmojaKwahiyo mtotk mtoto akipatikana nje ya ndoa anakua haramu jamii famili inamtenga kwenye haki zake kama mtoto mfano kama ana ndugu zake waliozaliwa ndani ya ndoa wanakua wanajaliwa zaidi na kupendwa kuliko yeye ?