Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

  1. Wajita
  2. Wachaga
  3. Wamakonde
  4. Waluguru
  5. Wanyaturu
  6. Warangi
  7. Wazaramo
  8. Wagogo
Hii mada inafikirisha sana nilkutana na Warangi familia moja watatu wote single maza🤔ukiacha wachaga elimu zao kubwa hayo makabila ni darasa la saba

Kuna wanyakyusa wenye elimu wanaonaga kama vile wanaweza kujitomber yan atajifanya ooh kwa Sasa sitak kuolewa nataka masters🤣Ila kupigwa miti anapigwa na vijana
 
Kuna wanaume wanawakandia single mother huku wakisema waliachana nao na kwenda kuoa wanawake wengine. Umemzalisha dada wa watu kisha ukamuacha halafu unamkandia, sie wengine tutawaoa halafu usogeze tena pua eti ni mzazi mwenzako fresh utaipata toka kwa mume mpya. Usimvurugie uhusiano mpya we ulishamuacha
 
nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Hii comment iwekewe lamination..sipendi kueleza what's happening to me.

Umegusa kila kitu.
 
Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Bro/mkubwa/father naomba nikwambie kitu wanasema wengi wape wachache wanyime hapa aslimia kubwa ya watu wamepondea hayo makabila na sio kwamba wamezaliwa familia moja kwo kuna ukweli
sahihi jumlisha na wabende wako katavi pia, hawa kila mtoto ana babake na hawana tabu
Hv hawa wakonongo s ndio kina mandojo
 
Usioe kwa kuangalia kabila mkuu oa mke sahihi na mwema kwako,nilioa msukuma/mnyantuzu ila kitu kilichonikuta aisee mungu mwenyewe anajua
Bro/mkubwa/father naomba nikwambie kitu wanasema wengi wape wachache wanyime hapa aslimia kubwa ya watu wamepondea hayo makabila na sio kwamba wamezaliwa familia moja
 
Back
Top Bottom