Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Haya makabila yanaongoza kwa kuwa na single mama, kwanini?

Kuna jamaa ka comment mbona Iringa single mother wengi nikaona niwajibie watani zangu kama ifuatavyo.

''Sasa kama wanaume wote wamejinyonga unategemea wanawake wasiwe single mother''
 
Ukarimu uliopitiliza
  1. Wajita
  2. Wachaga
  3. Wamakonde
  4. Waluguru
  5. Wanyaturu
  6. Warangi
  7. Wazaramo
  8. Wagogo
  9. Wangoni
Sababu ni kama ifuatavyo
  1. Misimamo na fujo
  2. Utafutaji
  3. Burudani kwenda mbele
  4. Shughuli kila wiki
  5. Weupe na mvuto
  6. Weupe na mvuto
  7. Mdundiko
  8. Hawaeleweki
  9. Ukarimu uliopitiliza
 
  1. Wajita
  2. Wachaga
  3. Wamakonde
  4. Waluguru
  5. Wanyaturu
  6. Warangi
  7. Wazaramo
  8. Wagogo
  9. Wangoni
Wachagga ni "intersection" maana kila set wapo; wakitajwa:
warembo wamo
Single maza wamo
Wasio na shape wamo
Wanaua waume zao wamo
Wenye vigimbi wamo
Wasomi wamo
Wapambanaji kimaisha wamo
Waoongoza kuolewa wamo
Wanoolewa na madon wapo

Hawa watu ni nouma na ajabu watu hawaachi kuoa Wachagga! Kongole kwenu mabinti wa Kichagga
 
Wachagga ni "intersection" maana kila set wapo; wakitajwa:
warembo wamo
Single maza wamo
Wasio na shape wamo
Wanaua waume zao wamo
Wenye vigimbi wamo
Wasomi wamo
Wapambanaji kimaisha wamo
Waoongoza kuolewa wamo
Wanoolewa na madon wapo

Hawa watu ni nouma na ajabu watu hawaachi kuoa Wachagga! Kongole kwenu mabinti wa Kichagga
Wake wakichaga kuliwa liwa na wahuni pia sema wamo saana.
 
nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Niko nataka kumpiga chini mchaga mwenzangu hapa, ujike dume, dharau ni too much aisee
 
Kwasasa huo ni ugonjwa wa wote tu!

Zamani wabena walisifika kuwa ndio Bora kwenye ndoa lakini Kwa sasa wanashindana na redio Kwa kuongea uchafu! Hasa wakijipata!
 
Back
Top Bottom