Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
🤣🤣🤣😂😂😂Makao makuu ya single mazas ni veyula dodoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣😂😂😂Makao makuu ya single mazas ni veyula dodoma.
Hapo kwa wangoni upo 100% sahihi. Ila kuna wazanaki hapo sija waona
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Wajita ni washenzi tu halafu huwa wanahasira za kijinga sn eti anakunyima mbususu kama kukukomoa kumbe ndio anakupa unafuu wa kupiga nje.Bad news nilizaa nae ,kumuona mtoto ananiwekea masharti kama anapiga ramli natukionana anakuwa na maelezo kama dalali,lakini najitahidi mwanangu akue akiniona mara kwa mara.
Iringa wanawake wengi ni singo Maza sijui kwaniniWahehe umewaacha wapi
ulivyosema chumvi chumvi tuliosoma Cuba tukapata D mbili tumeelewaChumvi Chumvi
Au nasema uongo🤣🤣🤣😂😂😂
Sababu ni kama ifuatavyoUkarimu uliopitiliza
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Ukiona nimenyamasa we niangusage tu mbona sambi sako mwenyeweWahehe umewaacha wapi
Ubishi mwingiWaha nimeishi nao, Wana ubaguzi, ubinafsi na dharau kupita wahaya
Wachagga ni "intersection" maana kila set wapo; wakitajwa:
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
- Wangoni
Hawa sijawafuatiliaHapo kwa wangoni upo 100% sahihi. Ila kuna wazanaki hapo sija waona
Inakuwa aibu mara mbili hata ugomvi ukiisha tayari majirani wanajua Kila kituMwanamke wa kijita/kikerewe mkikosana ndani yeye anatoka nje kurusha mawe na matusi. 😂😂
Hao nao wanaongoza kuzakia nyumbanHawa sijawafuatilia
Wake wakichaga kuliwa liwa na wahuni pia sema wamo saana.Wachagga ni "intersection" maana kila set wapo; wakitajwa:
warembo wamo
Single maza wamo
Wasio na shape wamo
Wanaua waume zao wamo
Wenye vigimbi wamo
Wasomi wamo
Wapambanaji kimaisha wamo
Waoongoza kuolewa wamo
Wanoolewa na madon wapo
Hawa watu ni nouma na ajabu watu hawaachi kuoa Wachagga! Kongole kwenu mabinti wa Kichagga
Niko nataka kumpiga chini mchaga mwenzangu hapa, ujike dume, dharau ni too much aiseenilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
hapo umenena vema ni kweliWajita na Wachaga ni kwa sababu ya ubinafsi na mashindano ya kipumbavu
Wao huwa wanaona kawaida tu. Hadi jirani wanakuwa washazoea. 😀Inakuwa aibu mara mbili hata ugomvi ukiisha tayari majirani wanajua Kila kitu