Haya makundi Manne yakimuunga mkono Tundu lissu , mapema uchaguzi 2025 anaingia Ikulu

Haya makundi Manne yakimuunga mkono Tundu lissu , mapema uchaguzi 2025 anaingia Ikulu

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
 
CCM hawezi kuondoka leo wala kesho bila CCM kuvunjika vipande vipande (CCM za sasa za nipe nikupe na machawa na wenye njaa unahitaji fedha kuweza kutoa Hongo)

Ingawa ingekuwa watu wanachagua mtu kutokana na Issues anazoongelea kwa sasa sioni sababu issue are no longer an agenda...


 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika .

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo .

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
Watanzania msiburuze watanzania wengine.
Kwanza mumsome Tundu Lissu.
TL alifanya jamboa gani katika uhai wake kusaidia wananchi popote pale Taqnzania.
TL alipokuwa mbunge alifanya nini katika jimbo lake.
TL ni msemaji mzuri wakujenga hoja, sababu ni wakili. Wakil;i anajenga hoja ya kumtowa makosani mhalifu.
TL alikuwa upande wa wamakampuni yanayoiibia Tanzania wakati serikali ina popingana nayo.
TL ni mjanja kwa hivyo Chadema amkeni. Kupigwa risasi kwake kusikufanyeni mkadhani ni mpenda haki.
Niwakili na anatumia uwakili wake kwa maslahi yake.

Amkeni.
Maji ya kimwagika hayazoleki
Zimwi likujualo hali kuli na kuku maliza.
 
Kwa Msimamo wa Museven wa Machame, hayo makundi tayari yashakata tamaa.

Kwasabb iwe mvua a au iwe jua Lisu hashindi!
 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama📌📌📌🔨🔨🔨💪🏿
 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
Yaani sisi mashabiki wa Mwamba Magufuli tumuunge mkono Mropokaji Lissu? Bro tuheshimiane!
 
Back
Top Bottom