Haya makundi Manne yakimuunga mkono Tundu lissu , mapema uchaguzi 2025 anaingia Ikulu

Haya makundi Manne yakimuunga mkono Tundu lissu , mapema uchaguzi 2025 anaingia Ikulu

Watanzania msiburuze watanzania wengine.
Kwanza mumsome Tundu Lissu.
TL alifanya jamboa gani katika uhai wake kusaidia wananchi popote pale Taqnzania.
TL alipokuwa mbunge alifanya nini katika jimbo lake.
TL ni msemaji mzuri wakujenga hoja, sababu ni wakili. Wakil;i anajenga hoja ya kumtowa makosani mhalifu.
TL alikuwa upande wa wamakampuni yanayoiibia Tanzania wakati serikali ina popingana nayo.
TL ni mjanja kwa hivyo Chadema amkeni. Kupigwa risasi kwake kusikufanyeni mkadhani ni mpenda haki.
Niwakili na anatumia uwakili wake kwa maslahi yake.

Amkeni.
Maji ya kimwagika hayazoleki
Zimwi likujualo hali kuli na kuku maliza.
Muwe na shukrani
 
Ndugu unawaza Urais wakati mziki huu aliouanzisha tayari ushaanza kulalia upande
 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
Hata hayo yote yasipomuunga mkono, Lissu akiungwa mkono na TISS tu anaingia ikulu.


Ndo mana kama kuna mambo ya kufanyika nchi hii ni maombi ya TISS kupata akili waache kuwa misukule ya CCM kwa maslahi mapana ya taifa, maana siku wakipata akili tu, nchi hii imepata ukombozi wa kweli.
 
Upo sahihi sana hapo kwa wafuasi wa Magufulism, ila huyo Tundu Lissu ana mambo ambayo binafsi yananifanya nisimkubali tena kamwe na naamini wapo wengine wengi wasioweza kumpigia kura kwasababu ya mambo hayo;

i. Alihusika kumpokea na kumsafisha Lowassa kipindi Mbowe anabadilisha gia angani 2015 na alishindwa kujibu hoja za Slaa akaishia kumu attack personally.
Kwangu binafsi ule unasimama kama uhuni mkubwa kabisa wa kisiasa niliwahi kushuhudia kwenye maisha yangu na kuanzia hapo simuamini tena huyo Tundu Lissu na cream yote ya Chadema especially ya wakati huo ispokua dr. Slaa,

ii. Kuendelea kumshambulia Magufuli ambae alishalala kitambo.
Hii anajifunga magoli mwenyewe aidha kwa kujua ama kwa kutojua kwasababu;

-Pana vitu vingi sana vya kuongea kwa sasa ambavyo vinaweza kumpa kuaminika kwa watanzania ila humsikii akiviongelea, tazama hata wakati wa ishu ya bandari, yupo Chato halafu anaendelea kumsema vibaya Magufuli tena mbele ya watu wake badala aelezee ubaya wa huo mkataba, sasa unajiuliza kama hajalipwa na watawala kufifisha hiyo hoja basi huenda atakua sio mzima kichwani kwasababu whatever it is he was doing was accomplishing the opposite,

-Watanzania wengi hawataki kabisa kusikia Magufuli anasemwa ama kutendewa vibaya na mtu yeyote, unaweza usione nguvu yao kwa sasa kwasababu hawajapata mtu wa kuwasemea ambae wanaona anaweza kuvaa viatu vya Magufuli vizuri, wakimpata tutashangaa,

-Lakini hata anayomtuhumu nayo yangekua kweli, inasaidia nini kuendelea kumsema wakati sio anaeshindana nae kugombea uongozi??

Pia mwisho, kama nipo sahihi hana mtoto hata mmoja ambae ni raia wa Tanzania, hata mke wake nakumbuka kuna interview moja alisema aidha ameshapata uraia wa Belgium ama amepata permanent residence permit ya huko, sasa hii unawaelezeaje watanzania kwamba upo nao na utawapigania mpaka mwisho kama mfano hatuuoni kuanzia kwa familia yako?

Kwa haya na mengine mengi naona hata yeye hafai tena hafai kwa mbali kabisa.
Mkuu maisha yake na familia walikuwa hatarini
 
Yule ana makundi mawili moja la Clubhouse na jingine la mtandao wa X la Maria.

Hana lolote anapigwa asubuhi saana.

Mbowe huna hatia na wana CDM simameni na Mwenyekiti wenu.
Hao jamaa wakitaka mapinduzi waanzishe chama chao au waende TLP.
 
Yule ana makundi mawili moja la Clubhouse na jingine la mtandao wa X la Maria.

Hana lolote anapigwa asubuhi saana.

Mbowe huna hatia na wana CDM simameni na Mwenyekiti wenu.
Hao jamaa wakitaka mapinduzi waanzishe chama chao au waende TLP.
Hakuna kitu kama hicho
 
Upo sahihi sana hapo kwa wafuasi wa Magufulism, ila huyo Tundu Lissu ana mambo ambayo binafsi yananifanya nisimkubali tena kamwe na naamini wapo wengine wengi wasioweza kumpigia kura kwasababu ya mambo hayo;

i. Alihusika kumpokea na kumsafisha Lowassa kipindi Mbowe anabadilisha gia angani 2015 na alishindwa kujibu hoja za Slaa akaishia kumu attack personally.
Kwangu binafsi ule unasimama kama uhuni mkubwa kabisa wa kisiasa niliwahi kushuhudia kwenye maisha yangu na kuanzia hapo simuamini tena huyo Tundu Lissu na cream yote ya Chadema especially ya wakati huo ispokua dr. Slaa,

ii. Kuendelea kumshambulia Magufuli ambae alishalala kitambo.
Hii anajifunga magoli mwenyewe aidha kwa kujua ama kwa kutojua kwasababu;

-Pana vitu vingi sana vya kuongea kwa sasa ambavyo vinaweza kumpa kuaminika kwa watanzania ila humsikii akiviongelea, tazama hata wakati wa ishu ya bandari, yupo Chato halafu anaendelea kumsema vibaya Magufuli tena mbele ya watu wake badala aelezee ubaya wa huo mkataba, sasa unajiuliza kama hajalipwa na watawala kufifisha hiyo hoja basi huenda atakua sio mzima kichwani kwasababu whatever it is he was doing was accomplishing the opposite,

-Watanzania wengi hawataki kabisa kusikia Magufuli anasemwa ama kutendewa vibaya na mtu yeyote, unaweza usione nguvu yao kwa sasa kwasababu hawajapata mtu wa kuwasemea ambae wanaona anaweza kuvaa viatu vya Magufuli vizuri, wakimpata tutashangaa,

-Lakini hata anayomtuhumu nayo yangekua kweli, inasaidia nini kuendelea kumsema wakati sio anaeshindana nae kugombea uongozi??

Pia mwisho, kama nipo sahihi hana mtoto hata mmoja ambae ni raia wa Tanzania, hata mke wake nakumbuka kuna interview moja alisema aidha ameshapata uraia wa Belgium ama amepata permanent residence permit ya huko, sasa hii unawaelezeaje watanzania kwamba upo nao na utawapigania mpaka mwisho kama mfano hatuuoni kuanzia kwa familia yako?

Kwa haya na mengine mengi naona hata yeye hafai tena hafai kwa mbali kabisa.
Kama hamjui vitu muwe mnakaa kimya
 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
Kwa akili zako unaweza kumkaribisha shetani nyumbani?? Yaani mtu anasapoti mashoga aingie Ikulu??
 
Nadhani kwa hali ilvyo sasa mabadiliko hayakwepeki , Tundu lissu kaonesha nia na uthubutu kwa Nchi yetu . Kuna haja ya kumuunga mkono kwa mawazo , nguvu ya umma na pesa pale itakapo hitajika.

Haya makundi manne kama yataunganisha nguvu ni wazi uchaguzi 2025 ikulu panaingilika popote pale atakapo kuwepo.

1.Wana CHADEMA kwa ujumla wao

2.Wafuasi wa hayati Magufuli ambao wanahitaji mabadiliko pamoja na Sukuma gang

3.Wana CCM wazalendo na wapenda mabadiliko

4.Wananchi wazalendo na wapenda Maendeleo wasio na vyama

Tungu lissu ni Tumaini la kweli , tuunganishe nguvu .
Polisi Je?
 
Watanzania msiburuze watanzania wengine.
Kwanza mumsome Tundu Lissu.
TL alifanya jamboa gani katika uhai wake kusaidia wananchi popote pale Taqnzania.
TL alipokuwa mbunge alifanya nini katika jimbo lake.
TL ni msemaji mzuri wakujenga hoja, sababu ni wakili. Wakil;i anajenga hoja ya kumtowa makosani mhalifu.
TL alikuwa upande wa wamakampuni yanayoiibia Tanzania wakati serikali ina popingana nayo.
TL ni mjanja kwa hivyo Chadema amkeni. Kupigwa risasi kwake kusikufanyeni mkadhani ni mpenda haki.
Niwakili na anatumia uwakili wake kwa maslahi yake.

Amkeni.
Maji ya kimwagika hayazoleki
Zimwi likujualo hali kuli na kuku maliza.
Kwani na yeye anapata mgao CCM ?
 
Mama akipigwa kwenye boxi la kura anaweza kukataa matokeo atafanya UJECHA ili afanye maridhiano😄
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom