Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Waliokuwa consistent na focused walifanikiwa, hata kidogo upatacho ukiwa na malengo unasonga mbele.
Ukiachilia waliokwenda overseas kwa hapa bongo mifano ya Sugu, AY, Mwana FA, Professor J na Lady JD unaweza kuona maana halisi ya kuwa focused, uwezo wa kuwekeza au kutumia brand-name kupenya kwenye siasa ni mifano iliyo wazi. Wapo waliochanganyikiwa na fame na vipesa kidogo walivyokuwa wakipata wakazama kwenye maisha ya parting through and through, drugs, ulevi uliopindukia na vurugu nyingine nyingi sasa watu sampuli hizo imagine wangepata pesa kama wapatazo Bongo flavors wa sasa nadhani wengi wao tungeshazika.
Kweli mkuu
 
RON ALDO kuna nyimbo moja ya SOS B inaimbwa "Ikibidi hivyoo ikiwa hivyo" kitu kama hicho
Sidhani kama naujua mkuu. Wimbo wa SOS B niliokuwa na uhakika naujua ni Kukuru Kakara, labda huo mwingine nimewahi kuussikia enzi hizo bila kujua ni wake. Nitaanza harakati za kuutafuta.
 
[emoji122][emoji122]
GWM - Gangstaz With Matatizo
CBM - Check Bob Maarifa
BDP - Big Dogg Posse (Hili 'posse' inatamkwa 'pasi' kwa kiingereza, likimaanaisha kikundi)
SGF- Solid Ground Family
TNG -nilihisi linaamanisha Tanga Squad

Dolphin sikuwajua na Bon Cruz sidhani kama nawakumbuka 😀😀

Wazamani wengine nawakumbuka ni DEPLOWMATZ -Kina Balozi Dolasoul na Kwanza Unit, Hard Blasters na XPLASTAZ
Bone crew wameimba 'huyu jamaa' ft Daz baba na wana nyingine kali zaidi iliitwa "kilio Cha wanafunzi"[emoji91]
 
AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')

Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.

Tanzania taifa la bongo, kwenye hardtime tuna make bingo..........
 
Wale mabaga na ule ulemavu wao lakini walikuwa wakikutana na demu. Lazima huyo demu anye au afe nusu maana vile viuno vyao ni zaidi ya machine

Heee kuna kunya tena!? Kumbe lindaz watu wameanza kudili nazo kitambooo.!!
 
Back
Top Bottom