Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Planet 2000 - Bab' Kubwa

Your browser is not able to play this audio.


Hard Blasters Crew - Mamsap. Mashairi ya Nigga Jay ( Siku hizi Profesa Jay) humu angeimba msanii wa kizazi hiki tungesema hana maadili 😀 kumbe wahenga pia hatukuwa mbali
Your browser is not able to play this audio.



Big Dog Posse - Majobless

Your browser is not able to play this audio.
 
Kulikuwa radio presenters waliupigania sana mziki wakina Mike mhagama,taji liundi, soso b,Sebastian maganga

Ova
SOS B - Kukuru Kakara Zako... Huu ndo wimbo ulionishawishi rasmi niikubali Hip Hop yetu. Kama sikosei hii ilitoka kabla ya Chemsha Bongo ya Nigga Jay na nafikiri huyu jamaa aliwashawishi hawa wengine wengi wa enzi zile waingie kwenye game. Kila kitu kipo humu, ujumbe wa kutofanya ngono bila condom, kuwa na msanii mwingine kuitikia na kurudia maneno (ad libs) na kutamka neno kwa herufi syle ya 'A to the... (R nenda A nenda P (RAP)). Kifupi huu wimbo niliukubali sana

Your browser is not able to play this audio.
 
Bdp kuna kipindi nlikutana na drez chief
Anakunywa mipombe ya kienyeji yaani
Hali yake ilikuwa syo kabisa
Drezchief alifanyaga sana production na mixing pale sound crafters
Tatizo bdp maisha fulani ya kisela walizidisha sana

Ova
 
Bdp kuna kipindi nlikutana na drez chief
Anakunywa mipombe ya kienyeji yaani
Hali yake ilikuwa syo kabisa
Drezchief alifanyaga sana production na mixing pale sound crafters
Tatizo bdp maisha fulani ya kisela walizidisha sana

Ova
Sad sana
 
Hizo ni bendi sio bongofleva
Nilikuwa nazungumzia nyimbo za enzi za Wahenga, kama ulinisoma vizuri nililiweka wazi hilo.
Hata studio za Mawingu wakati zinaanza hazikuwa enzi za Wahenga, that's what I was clarifying.
 
Nilikuwa nazungumzia nyimbo za enzi za Wahenga, kama ulinisoma vizuri nililiweka wazi hilo.
Hata studio za Mawingu wakati zinaanza hazikuwa enzi za Wahenga, that's what I was clarifying.
Msondo show zao nlikuwa naenda sana

Ova
 
Hao HARD BLASTERS walitisha sana.....vibao vyao kama

Tuko nyuma
Mwokozi
Fanani
Mamsap
Eee Mola

Mwenye hizi ngoma naomba, you tube naona wimbo wa Fanani na Mamsap tu
 
Alicopy nyimbo ya vanilla ice
Aise mzee unaelekea una collection
Za zamani

Ova
aaahaaaa...

'kuna kitu kimenikaa moyoni sasa nimeamua kukitoa mdomoni...'

nadhani ndiye huyu mwamba iliimba kwa tune ya 'ICE ICE BABY'
 
Hao HARD BLASTERS walitisha sana.....vibao vyao kama

Tuko nyuma
Mwokozi
Fanani
Mamsap
Eee Mola

Mwenye hizi ngoma naomba, you tube naona wimbo wa Fanani na Mamsap tu
Kuna show yao moja walipiga sleep way enzi za summer jam ilikuwa balaaa
Kwanza hilo nyomi

Ova
 
aaahaaaa...

'kuna kitu kimenikaa moyoni sasa nimeamua kukitoa mdomoni...'

nadhani ndiye huyu mwamba iliimba kwa tune ya 'ICE ICE BABY'
Yah
Na pia wakina kolumba mwingira,othman njaidi Hahaha

Ova
 
Bdp walikuwa watoto wa kinondoni shamba
Enzi zile shw zao lazima watuinvite

Ova
Enzi hizo niko A-Town (Siku hizi A-CITY aka R-CHUGA aka Chugastan aka Chugamaica) bongo flava naipata redioni tu na kwenye TV 😀 😀 . Niliendaga kwenye Fiesta moja tu, nakumbuka msanii wa nje alikuwa 2face Idibia (2baba) na tulikuwa na vijana wa Arusha wanajiita 'Wana Apolo' kwenye stage walivyopanda walifunika sana na style yao kama ya TMK Wanaume 'mapanga shaaa' 😀😀
 
Kuna show yao moja walipiga sleep way enzi za summer jam ilikuwa balaaa
Kwanza hilo nyomi

Ova
Wale jamaa walikuwa vizuri sana, ila niliwahi kusikia Fanani alijiingiza kwenye ngada hadi akawa Teja.....sijui kama alirecover
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…