Haya makundi ya Bongo Fleva yalitupa raha sana sisi Wahenga

Jcb na chindoman walikuwaga waanangu sana....
Nakumbuka kuna siku tulikuwa block41 alikuja chindo nlikuwa kwa mwana mmja anaitwa chis,sasa chindo akawa anasema
Anawaza sana ....anawaza
Ahh baada ya siku kadhaa nkasikia katoa goma linaitwa nawaza haha
Jamaa alikuwa gifted sana

Ova
 
Wale jamaa walikuwa vizuri sana, ila niliwahi kusikia Fanani alijiingiza kwenye ngada hadi akawa Teja.....sijui kama alirecover
Fanani alijiingiza kwenye madawa ila kna wakati alikuwa anapigana kutoka ila muda sana hajaonekana
Hata kwanza unit kna mmoja wao sjui ni y thang yule au nani naye aliijingizaga kwenye madawa yaani nomaa

Ova
 
Bonge la track lilikuwa aisee
 
Fanani alijiingiza kwenye madawa ila kna wakati alikuwa anapigana kutoka ila muda sana hajaonekana
Hata kwanza unit kna mmoja wao sjui ni y thang yule au nani naye aliijingizaga kwenye madawa yaani nomaa

Ova
Fanani alikuwa Magomeni kama sijakosea
 
Siku hzi mziki hKuna kitu makelele tu

Ova
Nashukuru siku hizi vijana kwenye sanaa wanaonesha kujitambua na kupiga hela na kujitahidi kufanya ya maana na pesa wakizipata. Diamond, Harmonize, Rayvanny, Mesen Selekta, Nahreel na wengine wengine wanamiliki studio zao wenyewe na wanaishi kwa kujitegemea na zaidi ya hapo wamekuwa wakutegemewa. Tofauti na zamani.
 
Zamani waliimba vzr sema wasani walipata pesa kdg,wengine walishindwa kutunza pesa
Mr 2 naona ndy alikomaa

Ova
 
Nakumbuka hizi nyimbo tulikuwa tunazisikia sana kupitia Radio One na Clouds FM... Tukiwa Form One... Iyunga Tech. Mbeya.. Mwanzoni mwa miaka ya 2000....

List ya misongi unaipata katika gazeti la Ijumaa... La mtalaam Eric Shigongo...

Kweli siku zinasonga....
 
Tunataabika ya Mabaga fresh [emoji91][emoji91][emoji91]
Your browser is not able to play this audio.
 
Bush part by solid ground family [emoji91][emoji91][emoji91]
Your browser is not able to play this audio.
 
Kamanda kama kamanda by Daz Nundaz [emoji91][emoji91][emoji91]
Your browser is not able to play this audio.
 
Barua kama barua by Daz Nundaz [emoji91][emoji91][emoji91]
Your browser is not able to play this audio.
 
Mwengine sajo [emoji2][emoji2]
ila hawa jamaa nyimbo zao hazijawahi kuchuja...

Kamanda
Barua
Boss
nyie watu walikua wanaimba vitu vina make sense Wallah
Nimekumbuka nyimbo za dully na
Leah
Salome izi nyimbo zilikuwa nzuri
 
AY (Mzee wa Commercial) na COMPLEX (Field Marshall) - Hawa hawakuwa kundi rasmi ila walikuwa na tabia ya kupiga collabo kali kama ilivyokuwa AY na FA au na GK. Iwe wao wawili (RAHA TU rmx, Hakuna Hatari, Muda ndiyo huu, etc) au wakiwa na msanii mwingine (Zay B kwenye 'Njoo kati', GK kwenye 'mchanga wa macho')

Naona tulipoteza msanii mkali sana kwa COMPLEX maana niliona ukimuweka na AY combo ilikuwa kali. Kuna wimbo Complex aliimba na Mturuki sijui aliitwa Bharish, unaitwa 'taifa la Bongo'. Nimeutafuta sana bila mafanikio.
 
Zamani waliimba vzr sema wasani walipata pesa kdg,wengine walishindwa kutunza pesa
Mr 2 naona ndy alikomaa

Ova
Soko halikuwa tayari aisee. Vijana wengi waliopenda muziki huu hawakuweza kuununua walitegemea redio na TV au waende kwenye shows. Digital platforms zilizopo saivi zingekuepo enzi zile nahisi wangetoboa.
Nadhani East Coast Team kulikuja kuwa na O-Ten na Imam Abbas. Baadae wakajaongezeka madogo wengine kama Snare na wengine sikuwajua vizuri wakajiita East Coast Army
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…