Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,000
kuna jamaa alikuwa na flow ya kipekeeLWP_
mke wa mtu ni simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa alikuwa na flow ya kipekeeLWP_
mke wa mtu ni simu
Dooh kuna siku nilikua Tanga Lushoto nikamuona Mkoloni,mchizi kachoka kinyama kachakaa balaa!!DAZ NUNDAZ
Ferouz
Daz Mwalimu
na wengineo
WAGOSI WA KAYA (WAGOSI WA NDIMA)
Dr John
Mkoloni
FAGIO LA CHUMA CREW
wahenga ongezeeeni
Mimi nina uparaWote tunajirusha
Hakuna kulala mpaka kunakucha,
Ndani kuna makuZi,
Muhogo Mchungu anacheza na mbuzi
anaitwa Slotakuna jamaa alikuwa na flow ya kipekee
Yaan hasa, hiyo "amka" nikisikia mdundo wee lazima nipagawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachaaa weee [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walipata SUPP[emoji23]
marekebisho kidogo sister,Mimi nina upara
pamba za zakiem mbagala
Nipo na mamaa wote tunang'aa
Anadai mkononi na chupa ya chang'aa
Aliyekuja na ngedere amtoe out
Kwani humu ndani anazua varangati
BDP Big Dogg PoseMajobles jobles,hawa kundi sikumbuki lilikua linaitwaje
Asante nimeandika nilivyokuwa naimba enzi hizo si unajua sometime hata husikii vizuri na sijawahi kufuatilia usahihi upoje[emoji16][emoji16]marekebisho kidogo sister,
Mimi nimeupara/ pamba za KTM Mbagala/
nipo na mamaa wote tunang'aa/
Hamaguy mkononi na chupa ya chang'aa.
huyu Hamaguy Ni memba kaimba verse ya mwisho kweny huo wimbo.
Majitu Mwitu MsituLWP_
mke wa mtu ni simu
Kibongo bongo mziki michosho afadhali kidogo kizazi cha sasaDooh kuna siku nilikua Tanga Lushoto nikamuona Mkoloni,mchizi kachoka kinyama kachakaa balaa!!
Professor jay - mamsup"Nipooze moyo mama nimechanganyikiwa na penzi lako la maana,
Mapenzi si ugomvi,mapenzi si uhasama
Nipe penzi nikupe sjui nini ni salama.......
Hivi uyu alikuwa mr 2 eti? Iyo nyimbo nlikuwaga naikubali sjui kwann
Goma Lao la mtulize,mpaka leo linaishiMabaga fresh,wale vilema walikua na kasi nao
Diplomatz, wagumu weusi asilia,sosy bHao wasanii wote wajuzi tu mnaowataja bongo flavor wenyewe kama akina saigon mzee wa kalinye hamjamtaja, dola solo(dullah soul) mzee wa balozi bado nipo sijui kama jina halisi hujamtaja, huyo nature kabla tmk alikuwa nature wa jinsi kijana ft majani, enzi hizoo hatari sana
Bifu la zey b na sister pi na mwana FA ingekuwa vipiii