Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wakakutane na mjeshi shoga wa kutoka yuesiei
Halafu watashangaa kukuta kwamba kwenye vita halisi hayo hayapo.Halafu wakakutane na mjeshi shoga wa kutoka yuesiei
Ndo maana wanawajambisha na yale makombora,,,,jamaa kama wamakonde ukisimama nchale ukikaa nchale,,,ukija na silaha nakuweza ukitaka tuzichape kavukavu nakuweza......halafu unamuweka jamaa wa huko achapane na hawa ma lgbt atasambaratisha kikosi kizimaHalafu watashangaa kukuta kwamba kwenye vita halisi hayo hayapo.
Kiduku hakawiii kuwageuka, hapo anachukua sampuli ya vyote vilivyotumika ili akapime kama vinakidhi viwango vya TBS ya huko kwao
HahahaHaaa. Umenikumbusha enzi zile JWTZ katika visiwa vya Moroni (nimesahau jina)walizichapa kavu-kavu na wavamizi kumwondoa aliyejitangazia Mapinduzi........Ndo maana wanawajambisha na yale makombora,,,,jamaa kama wamakonde ukisimama nchale ukikaa nchale,,,ukija na silaha nakuweza ukitaka tuzichape kavukavu nakuweza......halafu unamuweka jamaa wa huko achapane na hawa ma lgbt atasambaratisha kikosi kizimaView attachment 3019916
Korea ya Kaskazini ni kama Afrika tu, Wala Hakuna tofauti
sasa korea kaskazini ni nchi, si kaburi lililowazi
Kaka we ni shoga itakua mbona unapenda sana kuitangaza biashara yako apqHalafu wakakutane na mjeshi shoga wa kutoka yuesiei
Hayo ni maoneshoHalafu watashangaa kukuta kwamba kwenye vita halisi hayo hayapo.
Naam; Yan Sio uhalisia wakati inapokuwa ni suala la vitani.Hayo ni maonesho
Ni sawa na yale ya karate