Muhsin Snr
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 515
- 806
heeee......kumbe nna mengi bado siyajuiHao wanaume wa zamani, wanaume wa sasa hivi wanawaze wakalawitiwe saa ngapi.
Mpaka pombe sasa wanainywa kwa mndukuni. Kuna mwanamme hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heeee......kumbe nna mengi bado siyajuiHao wanaume wa zamani, wanaume wa sasa hivi wanawaze wakalawitiwe saa ngapi.
Mpaka pombe sasa wanainywa kwa mndukuni. Kuna mwanamme hapo?
Kiduku si mwenda wazimu TU!Korea kaskazini nao si wahuni tuu
kabisaKi
Kiduku si mwenda wazimu TU!
Nafuatilia kiundani.Cha ajabu katika Parade km hio hata Siku 1 popote hutokuta kuna Angelina Jolie (Mwanamke Shupavu) anaonyesha show ya kupasuliwa na matofali kichwani
Kwa hio wale wanajeshi wanawake Jeshini ambao wapo kitengo kimoja na hao mabwana wanaopasuliwa na mambao kazi yao ni IPI haswa?
Ukweli mchungu huoHayo ni mazingaombwe ova...
Sio wao ndio wanatuiga sidi?Ukweli utabaki kua ukweli tunaiga mambo yote kutoka kwao
FilNdo maana wanawajambisha na yale makombora,,,,jamaa kama wamakonde ukisimama nchale ukikaa nchale,,,ukija na silaha nakuweza ukitaka tuzichape kavukavu nakuweza......halafu unamuweka jamaa wa huko achapane na hawa ma lgbt atasambaratisha kikosi kizView attachment 3019916
Wawaige kitu kipi?Sio wao ndio wanatuiga sidi?
Kwani hao umeambiwa wana mpango wa kuvamia nchi za watu na kupora utajiri.....Waangalie Jeshi la Marekani mazoezi yao ndo Utajua Tofauti Nguvu bila Akili ni Kujichosha tuu
🤣Hayo ni mazingaombwe ova...
Amevamia Nchi ya MwenzakeKwani hao umeambiwa wana mpango wa kuvamia nchi za watu na kupora utajiri.....
Huyo mwenye "akili"Nani
Amevamia Nchi ya Mwenzake
Tafuta Hela Asubuh hiiHuyo mwenye "akili"
Napokea mafao toka kwa wenye akili, we hawajakupa???Tafuta Hela Asubuh hii