Haya mambo kumbe hata Korea wanafanya, nilidhani ni Afrika tu

Haya mambo kumbe hata Korea wanafanya, nilidhani ni Afrika tu

SIO wenzetu.

Habari kubwa ya defence and security wiki hii ni kugundulika kwa tani elfu 70 za silaha za North Korea kupelekwa Russia.

MOSAD hawakujua, wala CIA, wala MI 15, wala Mkuu wa Upelelezi Kituoni Staki Shari, Ukonga.

Halafu Magharibi wakasema wanaamini North Korea inapewa chakula in return. Hawana hakika kalipwa nini.

Binafsi sikujua kuna shehena za dhana za mass destruction zinakatisha baharini na mzungu hajui, na radar zake na sonar machine za ku detect miungurumo baharini na metal detectors na smoke detectors !!!! Hakujua nini kimekwenda, nini kimerudi kama malipo! Wana teknolojia ya kuunda dhana nzito za kivita na kuzisafirisha gizani.

Sisi tumesema computer za TRA na computer za TPA hazisomani, zimetushinda! Tulete Mwarabu tumuuzie. Mkorea hawezi kuleta Mwarabu kwake au kiumbe chochote eti kimuendeshee ma cranes na ma computer.
 
Bado hamjasema,
ndo Kwanza Putin kawasili
Na mpk aondoke, Mtasema Sana mammae😀.
 
HahahaHaaa. Umenikumbusha enzi zile JWTZ katika visiwa vya Moroni (nimesahau jina)walizichapa kavu-kavu na wavamizi kumwondoa aliyejitangazia Mapinduzi........
Kwamba jwatz ndiyo walikuwa wavamizi wakaenda kuchapana na wenye visiwa vya Moroni Comoro au watu wa visiwa Anjwaani ndo walikuwa wavamizi?
 
Nyie mnataka wajifunze ushoga kama kwenye majeshi yenu ya magharibi?
Mkuu kuna mTanzania anamiliki wanajeshi huko Magharibi na wengine wanamiliki wanajeshi huko Korea? Au ndiyo dalili ya ukichaa inakunyemelea.
 
Ndo maana wanawajambisha na yale makombora,,,,jamaa kama wamakonde ukisimama nchale ukikaa nchale,,,ukija na silaha nakuweza ukitaka tuzichape kavukavu nakuweza......halafu unamuweka jamaa wa huko achapane na hawa ma lgbt atasambaratisha kikosi kizimaView attachment 3019916
Hawa pamoja na ujinga wao wa kucheza na kinyesi ila linapokuja suala la vita wana akili, ukija vibaya na minguvu nguvu yako na misuli anaweza kukukalisha kwa kakifaa kadogo tu kako hewani huko hata hakaonekani. Si wa kuwadharau hawa.
 
Mkuu kuna mTanzania anamiliki wanajeshi huko Magharibi na wengine wanamiliki wanajeshi huko Korea? Au ndiyo dalili ya ukichaa inakunyemelea.
Nimejibu kutokana na upande unaosapoti.mimi nimeongelea Tanzania wapi?au umechanganyikiwa.
 
Kwamba jwatz ndiyo walikuwa wavamizi wakaenda kuchapana na wenye visiwa vya Moroni Comoro au watu wa visiwa Anjwaani ndo walikuwa wavamizi?
Hapana. Yule aliyeongoza uasi alipata ahadi ya msaada wa askari mamluki ambao wangeliletwa kwa ndege. Mpango wa hao waasi na mamluki ulipokakilika na ndege yenye hao mamluki tayari kuondoka huko ilikokuwa, vijanaJWTZ walikwisha pata "mtonyo" na hivyo wakawa tayari weshajipanga kuwasubiria airport palipoteuliwa ndege itawashushia. Na kweli askari mamluki walishukia hapo kama walivyopanga na ndipo "kazi mtanange" ikachukua mkondo wake. Wavamizi walitembezewa kichapo kitakatifu cha mbwa mwizi na hatimaye walipoona wamezidiwa mno ikabidi wajisalimishe na ndo ukawa mwisho wa uasi ule.
 
hao ni makomando,sie watu weusi hayo sio mambo yetu
sisi ni ngoma na mbege
 
Hatuna kiwango hicho, bado tu wanafunzi.

Kwanza jiulize wamajeshi wetu walifundishwa na nani?
 
Hao wanajeshi wa korea ya kaskazini.
Cha ajabu katika Parade km hio hata Siku 1 popote hutokuta kuna Angelina Jolie (Mwanamke Shupavu) anaonyesha show ya kupasuliwa na matofali kichwani

Kwa hio wale wanajeshi wanawake Jeshini ambao wapo kitengo kimoja na hao mabwana wanaopasuliwa na mambao kazi yao ni IPI haswa?

The Stress Challengerr
 
Hawa pamoja na ujinga wao wa kucheza na kinyesi ila linapokuja suala la vita wana akili, ukija vibaya na minguvu nguvu yako na misuli anaweza kukukalisha kwa kakifaa kadogo tu kako hewani huko hata hakaonekani. Si wa kuwadharau hawa.
Akili wapi......wale wa Ukraine warusi waliwapigia simu kuwa prank wakijua ni kamanda wao wakawa wanalilia vilainishi na pampers wanasema uwanja wa vita hali mbaya.....,,,,wazee wakipiga kombora 1 huku asie na marinda hata likimkosa keshajiharibia
 
Back
Top Bottom