Haya mambo kumbe hata Korea wanafanya, nilidhani ni Afrika tu

Halafu watashangaa kukuta kwamba kwenye vita halisi hayo hayapo.
Ndo maana wanawajambisha na yale makombora,,,,jamaa kama wamakonde ukisimama nchale ukikaa nchale,,,ukija na silaha nakuweza ukitaka tuzichape kavukavu nakuweza......halafu unamuweka jamaa wa huko achapane na hawa ma lgbt atasambaratisha kikosi kizima
 
HahahaHaaa. Umenikumbusha enzi zile JWTZ katika visiwa vya Moroni (nimesahau jina)walizichapa kavu-kavu na wavamizi kumwondoa aliyejitangazia Mapinduzi........
 
Kiduku hakawiii kuwageuka, hapo anachukua sampuli ya vyote vilivyotumika ili akapime kama vinakidhi viwango vya TBS ya huko kwao
Nakumbuka tabia hiyo alikuwa nayo mzee wetu flani, ahahahaa...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…