Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Aisee mtu unamuaminia eti mlokole uliza kanisa halina kichwa wala miguu yaani ni mchawi balaanakazia namba 5,
udini mwingi una hasara kuliko faida,
dini nayo ina uraibu mbaya sana
Wataolewa tuKwa hiyo wadada wasio na vipato waolewe na nani?
Hiyo point namba 2 wanawake wote wapo hivyo.1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
hapo atakwambia ni vita hivi mbinu za adui shenzi kabisaYa kwanza WRONG umetanguliza hisia za kike zaidi kuliko Uhalisia hakuna mtu ambaye hana haki ya kupendwa hata kama hana kipato sahihi, hayo mengine yana impact ndogo sana na katika mapenzi, wazazi wetu walipendana hivyohivyo bila kipato na wakadumu
2,3,4,5 nakuunga mkono hasa hiyo ya tano ni upumbavu mtupu, juzi kuna rafk eti nyoka kaingia kwake badala amuue eti anapiga maombi
Nimeipenda hiyo no.5 usipende kuolewa na mtu mcha Mungu; badala yake penda sana kuolewa na waabudu shetani1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Mtu anaoomba kumbe mchawi tuNimeipenda hiyo no.5 usipende kuolewa na mtu mcha Mungu; badala yake penda sana kuolewa na waabudu shetani
Nimechafukwa na bossy wangu ni kanichefua leo sanaMaua tafuta tu mtu akupige kitumbo basi naona unateseka sana
Ni wachawi😂😂hao wanaojifanyaga wafia dini huwa wanakuaga na mambo ya kiwaki sana.
Boss km boss yupo namba ngap hapo?Nimechafukwa na bossy wangu ni kanichefua leo sana
BABA UWASAMEHE HAWAJUI LILE WANALOLITENDA1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.