Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wacha Mungu hawafai tena 🤣🤣🤣 wewe utakua mdgo ake na ibilisi kwa kweli1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Sometimes watu wanajitoa ufahamu, subiri wapigwe tukio, eti wanataka mcha Mungu, kwanza Mungu ni mkuu sana, hawezi kukubali mcha Mungu wake aoe au aolewe na takataka.Nimeipenda hiyo no.5 usipende kuolewa na mtu mcha Mungu; badala yake penda sana kuolewa na waabudu shetani
Hakuna mkweli siku hzi wengi janja janjaKwa hiyo wacha Mungu hawafai tena 🤣🤣🤣 wewe utakua mdgo ake na ibilisi kwa kweli
Kwann usemee wote..? Hatuwez kukosa wa kweli wachacheHakuna mkweli siku hzi wengi janja janja
Hapo kwenye namba tatu muhimu ni kipato unaweza ukafanya kazi kampuni kubwa ukawa unalipwa hela kidogo. Lakini kuna mwenzako yupo kwenye Ka NGO kanazunguka Tanzania hela anayoongiza sio poa. Kuna jamaa ni Boss baloon Safari alitoka kampuni kubwa alianza kipindi Baloon Safari ilikuwa ndogo. Leo hii analipwa mshahara utasema kampuni ni yake kudos kwake.1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Nimemuita Iblilisi hapo juu kawaka 😀😀😀Kwa hiyo wacha Mungu hawafai tena 🤣🤣🤣 wewe utakua mdgo ake na ibilisi kwa kweli
Mtu anaumwa kichwa kawaida anaanza maombi, mbona njaa huwa hawaombi shibe?Ya kwanza WRONG umetanguliza hisia za kike zaidi kuliko Uhalisia hakuna mtu ambaye hana haki ya kupendwa hata kama hana kipato sahihi, hayo mengine yana impact ndogo sana na katika mapenzi, wazazi wetu walipendana hivyohivyo bila kipato na wakadumu
2,3,4,5 nakuunga mkono hasa hiyo ya tano ni upumbavu mtupu, juzi kuna rafk eti nyoka kaingia kwake badala amuue eti anapiga maombi
Huyo ni ibilisi kabsa. 😆😆Nimemuita Iblilisi hapo juu kawaka 😀😀😀
Hilo la kwenye kazi umechemka,...1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Utakuja nielewa tu saivi hutonielewa3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato
Nini maana ya kampuni na ni vigezo gani vinatumika kutambua kama hii ni kampuni?
ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na / au huduma kwa wateja[1] na linashughulika na aina yoyote ya biashara.
Ufafanuzi wa neno na taratibu za sheria hutofautiana nchi kwa nchi. Kwa ujumla, kampuni shirika la biashara linalotengeneza bidhaa kwa namna iliyopangwa na kuziuza kwa umma ili kupata faida.
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
Hadi mtu anaweza kutafuta wasaidizi maana yake ni kwamba amekwisha piga hatua, kwa minajili ya kipato chake kinaweza mudu kulipa mfanyakazi / wafanyakazi.
3. Me naona International company ndoziko vzr.3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato
Nini maana ya kampuni na ni vigezo gani vinatumika kutambua kama hii ni kampuni?
ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na / au huduma kwa wateja[1] na linashughulika na aina yoyote ya biashara.
Ufafanuzi wa neno na taratibu za sheria hutofautiana nchi kwa nchi. Kwa ujumla, kampuni shirika la biashara linalotengeneza bidhaa kwa namna iliyopangwa na kuziuza kwa umma ili kupata faida.
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
Hadi mtu anaweza kutafuta wasaidizi maana yake ni kwamba amekwisha piga hatua, kwa minajili ya kipato chake kinaweza mudu kulipa mfanyakazi / wafanyakazi.
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.