Haya mambo kuweni makini nayo

Haya mambo kuweni makini nayo

1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Kwa hiyo wacha Mungu hawafai tena 🤣🤣🤣 wewe utakua mdgo ake na ibilisi kwa kweli
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Hapo kwenye namba tatu muhimu ni kipato unaweza ukafanya kazi kampuni kubwa ukawa unalipwa hela kidogo. Lakini kuna mwenzako yupo kwenye Ka NGO kanazunguka Tanzania hela anayoongiza sio poa. Kuna jamaa ni Boss baloon Safari alitoka kampuni kubwa alianza kipindi Baloon Safari ilikuwa ndogo. Leo hii analipwa mshahara utasema kampuni ni yake kudos kwake.
 
Ya kwanza WRONG umetanguliza hisia za kike zaidi kuliko Uhalisia hakuna mtu ambaye hana haki ya kupendwa hata kama hana kipato sahihi, hayo mengine yana impact ndogo sana na katika mapenzi, wazazi wetu walipendana hivyohivyo bila kipato na wakadumu

2,3,4,5 nakuunga mkono hasa hiyo ya tano ni upumbavu mtupu, juzi kuna rafk eti nyoka kaingia kwake badala amuue eti anapiga maombi
Mtu anaumwa kichwa kawaida anaanza maombi, mbona njaa huwa hawaombi shibe?

Too much is harmful, kila kitu kiwe na kiasi. Dini nayo ukizidisha inalevya
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Hilo la kwenye kazi umechemka,...
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato

Nini maana ya kampuni na ni vigezo gani vinatumika kutambua kama hii ni kampuni?

ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na / au huduma kwa wateja[1] na linashughulika na aina yoyote ya biashara.

Ufafanuzi wa neno na taratibu za sheria hutofautiana nchi kwa nchi. Kwa ujumla, kampuni shirika la biashara linalotengeneza bidhaa kwa namna iliyopangwa na kuziuza kwa umma ili kupata faida.

4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.

Hadi mtu anaweza kutafuta wasaidizi maana yake ni kwamba amekwisha piga hatua, kwa minajili ya kipato chake kinaweza mudu kulipa mfanyakazi / wafanyakazi.
 
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato

Nini maana ya kampuni na ni vigezo gani vinatumika kutambua kama hii ni kampuni?

ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na / au huduma kwa wateja[1] na linashughulika na aina yoyote ya biashara.

Ufafanuzi wa neno na taratibu za sheria hutofautiana nchi kwa nchi. Kwa ujumla, kampuni shirika la biashara linalotengeneza bidhaa kwa namna iliyopangwa na kuziuza kwa umma ili kupata faida.

4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.

Hadi mtu anaweza kutafuta wasaidizi maana yake ni kwamba amekwisha piga hatua, kwa minajili ya kipato chake kinaweza mudu kulipa mfanyakazi / wafanyakazi.
Utakuja nielewa tu saivi hutonielewa
 
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo na kipato

Nini maana ya kampuni na ni vigezo gani vinatumika kutambua kama hii ni kampuni?

ni asasi au shirika linalotambuliwa kisheria ambalo limeundwa kwa ajili ya kuunda au kuuza bidhaa na / au huduma kwa wateja[1] na linashughulika na aina yoyote ya biashara.

Ufafanuzi wa neno na taratibu za sheria hutofautiana nchi kwa nchi. Kwa ujumla, kampuni shirika la biashara linalotengeneza bidhaa kwa namna iliyopangwa na kuziuza kwa umma ili kupata faida.

4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.

Hadi mtu anaweza kutafuta wasaidizi maana yake ni kwamba amekwisha piga hatua, kwa minajili ya kipato chake kinaweza mudu kulipa mfanyakazi / wafanyakazi.
3. Me naona International company ndoziko vzr.

4.Ana manisha wafanyakazi wawe na maendeleo.
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.

Kuna dini nilipelekwa na mwanamke wangu mpya aisee wale watu wote wanafanana akili kama za huyo mwanamke wangu wote wakali yaani amri amri, wanaonekana wamevurugwa sana yaani kidogo tu,. Mwqnamke anakuwazia uchawi! aisee nimejifunza sana
 
Back
Top Bottom