Haya mambo kuweni makini nayo

Haya mambo kuweni makini nayo

1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Umepita mule mule..

Mtoa mada Sorry hii ni dharura kumuoka mwana.
Nota Bene 59124 simu hupokeiii...
Yule jamaa uliyemuibia kuku yuko hapa store kwako (sorry kumbe ni geto) anasema Umekiuka dhamana kaja na RB.
Nakushauri usirudi huku, Lewa tuu ulanzi wako chalii yangu,
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
Kuna malaya wangu mmoja nilimuokota umu jf alikuwa na tabia kama zako za kuanzisha uzi kama hizi zako usikute umekuja na id nyingine sikujui saivi
 
Kuna malaya wangu mmoja nilimuokota umu jf alikuwa na tabia kama zako za kuanzisha uzi kama hizi zako usikute umekuja na id nyingine sikujui saivi
Ulimuokota kumbe huku ni dampo nawewe nimuokota takataka humu ,sasa mnuka takataka ,nani awe nawe,. Halafu jieshimu silalagi nawachovu please jiheshimu katukane maboya yako kitaa
 
1. Usidate na mtu hana kipato uwe me au ke,
2. Usidate na mtu kila saa ni anahitaji kusaidiwa
3. Usifanye kazi kwenye kampuni isiyo kubwa na isiyo yenye kipato
4. Usifanye kazi mahali mtu hajapiga hatua.
5. Usidanganywe na me au ke kuwa yeye ni mlokole vitu vyote anapata kwenye maombi, usipende kuolewa na mtu mcha Mungu hii ni wazo la leo.
1 na 2
 
Back
Top Bottom