Haya mambo tuambizane Ukweli bila woga. CHADEMA mnanisikia? Toeni Tangazo tujue moja

Haya mambo tuambizane Ukweli bila woga. CHADEMA mnanisikia? Toeni Tangazo tujue moja

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka anavaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid.

Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana.

Mimi nitasema ukweli fitna kwangu mwiko. Tunaona kwenye kikao hakuna aliyevaa Barakoa, hakuna social distance.

Mmekaa kwa uhuru mnajadili. Mbowe hajavaa barakoa wala Gloves.

KATIKA HILI LA CORONA MAGUFULI WAS RIGHT. HATA WASANII NAONA WAMEONA KERO KUIGIZA KUVAA BARAKOA. WALIOCHANJWA NI WACHACHE SANA.

But mnijibu nini kimetokea kwa Covid 19? Hoja za Gwajima zilijibiwa? Gwajima si mkamilifu naye ana mapungufu yake lakini katika Corona binafsi nlikubaliana naye.

Mimi sijachanja na sivai barakoa. Nmezunguka karibia mikoa 20 ya Tanzania toka mwaka 2020 mpaka leo. Sijaumwa Corona.

Sisemi Corona haipo. Ila nachosema tulitaka sana kuiabudu na kuifanya ni hoja ya kuchukulia points.

Watu wanakufa kwa Malaria but hatutembei tumevaa net. Kuna namna ya kujikinga.

Mbona hatuvai barakoa?

Mbona hatuwi na social distance?

Mbona tumeacha kutumia sanitizer?

Siyo dhambi kusema katika hili Magufuli was right.

Halafu tuendelee kumchukia kwa mengine.

downloadfile-6.jpg
 
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana san...

Uliwahi kusikia neno wave au wimbi?

Ukiwa mburula katikati ya mawimbi si nadra kujitangazia ushindi baada ya maombi ya siku 3.

Endelea kuota kwani huo nao ni uhuru wa mtu.
 
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...
Umekurupuka jiulize Magufuli yuko wapi leo , katibu wake na wafanyakazi wengine wa Ikulu wote Corona! .

Mshukukuru Mungu wewe na sisi hapa tunaweza kuongea na kupumua.

Hili sio swala la kisiasa linakula kutokote.

Corona zinabadilika, dawa zinapatikana, chanjo zinatoa hivyo magojwa yoyote mapya yakianza ni lazima muda uwepo na kusoma ugojwa
 
Alafu ukute huyo shemejio ni uvccm anaganga njaa pale lumumba na mabendera ya kijani,
Dunia imwaacha pakubwa sana mapimbi nyie
Bwashee.... Wewe hata ofisi za chadema huzijui.... Upo tu hasira zako unazitolea kwenye mitandao kama hivi ...povu linakutoka sana bwashee ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bwashee.... Wewe hata ofisi za chadema huzijui.... Upo tu hasira zako unazitolea kwenye mitandao kama hivi ...povu linakutoka sana bwashee ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kweli mi siyo chadema lakini napambana na wale wanaopost ujinga wakati nchi ina matatizo mengi mbali na siasa
 
Wakati wa Dr Slaa tulikuwa tunaongozwa na nguvu ya hoja, ndo hao vijana unaotusema tulikuwa tunajenga hoja.

Baada ya dr kuondoka, kikaja kipindi cha lisu na wafuasi wake, wao wanaongozwa na hoja ya nguvu: kelele nyingi, matusi kibao, nyodo na dharau ndiyo usiseme.

Amini usiamini, chadema inaelekea shimoni, unless iwe rejuvenated!
 
Upeo wako umeishia hapa? Zamani walikuwepo vijana wa chadema wenye kujenga hoja. Hapa katikati wamezaliwa watoto wa 90s na 2000s kichwani hamna kitu. Nawaza wakija ondoka akina Lissu,Heche n.k Chadema itabaki na akina nani? Inasikitisha sana.

Kwani ukilewa lazima uje huku jukwaani? Umeshalewa halafu unakuja na jazba za kilevi kisha unaona una hoja ya maana! Pombe sio chai mzee.
 
Huwezi kusema hukuugua Corona bila kufanya PCR TEST,unaweza ukaipata Corona na usionyeshe any symptoms,

Kifupi namaanisha unaweza ukapata corona mpaka ukapona bila wewe kujua kua ulikua na Corona kama hukufanya PCR TEST,

Usipoelewa hapa basi utakua umejikoki kubishana tu.
 
Umekurupuka jiulize Magufuli yuko wapi leo , katibu wake na wafanyakazi wengine wa Ikulu wote Corona! . Mshukukuru Mungu wewe na sisi hapa tunaweza kuongea na kupumua. Hili sio swala la kisiasa linakula kutokote. Corona zinabadilika, dawa zinapatikana, chanjo zinatoa hivyo magojwa yoyote mapya yakianza ni lazima muda uwepo na kusoma ugojwa
Corona iliacha kuchukua mke na watoto wake wanaokaa nyumba moja ikawachukua hao wa mbali?TUMIA AKILI
 
Corona iliacha kuchukua mke na watoto wake wanaokaa nyumba moja ikawachukua hao wa mbali?TUMIA AKILI

Nani kakambia inachua kila mtu! Magufuli alikuwa na pacemaker kama hujui hii ni nini nenda ka google! Mimi namjua kuanzia nikiwa na miaka 17 mwaka 1992 sasa wewe umeanza kumfahamu lini?

Yeye ananijua kwa sura je anakujuwa na wewe au ni chawa tu. Mimi ni family Member hapa kama hujui msiwe wanafiki ! Sisi tumepoteza ndugu na sio Raisi pekee nyie wajinga ndiyo mmesababisha apoteze maisha kwa ushabiki wenu wa kijinga
 
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...
Sijakuelewa unataka nini kwa CHADEMA.Maana umeenda mbele halafu ukarudi nyuma,kisha ukabaki katikati.Hukupenda walivyokutana au unamsifu Magufuli?
 
CHADEMA inaongozwa na viongozi wapumbavu sana! Wameshindwa kujenga kumbi zao za mikutano wanakimbilia kwenye mahoteli ya kukodi!
Hapo wanadhani wana privacy ya maana lakini kwa mtu mwenye macho " matatu" hao ni sawa na wanafanya mkutano wa hadhara tu!
Kumbe kikukeracho si COVID?

Ni CDM kufanya mkutano?

Sasa kwa nini unapotezea watu muda kwa hasira zako za kibwege?
 
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana....
Hata nchi za magharibi wameacha kuvaa barakoa sasa shida ni nini kwani?
 
Back
Top Bottom