Haya mambo tuambizane Ukweli bila woga. CHADEMA mnanisikia? Toeni Tangazo tujue moja

Haya mambo tuambizane Ukweli bila woga. CHADEMA mnanisikia? Toeni Tangazo tujue moja

Wewe acha kutoa ushuhuda wa uongo kuhusu Magufuli hahahahhah.

Kwanini hiyo Corona ipite tu na watu wa nje ya Magufuli?

Unaleta mfano wa ndugu yako,Una uhakika ndugu yako hakuwa na ugonjwa mwingine kama KISUKARI, UKIMWI, CANCER nk lkn nyie mkajitoa ufahamu kuwa kafa Corona?

Hizi porojo za ndugu yangu kafa Corona sio wewe tu,ni wengi vifo vya ndugu zao Corona ilikua fashion.

Mtu ndugu yake anatumia ARV muda mrefu,siku vimegoma anakuja mbio oooh ndugu yangu kafa Corona.

Mimi mwenyewe kuna ndugu wawili walikufa enzi za Corona lkn History zao ndio ziliwabeba na sio kuwatwisha kivuli cha Corona.

Walikua ni waathirika wa muda mrefu sana.

Nikikuuliza leo huna ndugu wanaokufa,utasema wapo.Je wanakufa Corona?


Corana ni watu wengi sana wanapata lakini sio kwamba inauwa kila mtu!. Lakini kama una miaka 60 na unatumia Pacemaker kwa Corona ile Delta variant kupona ilikuwa ngumu. Ndugu wa Magufuli walipata Corana pamoja na mke wake. Lakini nikuambie pia mkuu wa majeshi naye alipata akapona, Mpango alipata akapona, katibu wake alifaniriki , mfanyakazi mmoja ikulu na Magu wote walifariki. Spika Ndugai yeye kapata December iliyopita, Tulia alipata mara mbili 2020.

Wengi wamepata Corana laini ni variani gani na hali yako ya afya ni muhimu. Lakini ni tuna malimbukeni wengi sana siku hizi baada ya elimu kushuka kiwango!
 
Sijakuelewa unataka nini kwa CHADEMA.Maana umeenda mbele halafu ukarudi nyuma,kisha ukabaki katikati.Hukupenda walivyokutana au unamsifu Magufuli?
Na wewe ungeandika vizuri basi maana unachuchumaa... unasimama.... kisha unachuchumaa tena ukasimama halafu ukataka kuchuchumaa na kusimama kwa wakati mmoja umejikuta umeinama tu umebaki hapo hapo. hukuelewa hoja yangu au umefunikwa na ushabiki?
 
Umekurupuka jiulize Magufuli yuko wapi leo , katibu wake na wafanyakazi wengine wa Ikulu wote Corona! .

Mshukukuru Mungu wewe na sisi hapa tunaweza kuongea na kupumua.

Hili sio swala la kisiasa linakula kutokote.

Corona zinabadilika, dawa zinapatikana, chanjo zinatoa hivyo magojwa yoyote mapya yakianza ni lazima muda uwepo na kusoma ugojwa
Yaan we ndo mwehu kabsa! yaan mpaka Leo unaamini magu kaondoshwa na covid.
Pumbav kabsa!
 
Wakati wa Dr Slaa tulikuwa tunaongozwa na nguvu ya hoja, ndo hao vijana unaotusema tulikuwa tunajenga hoja.

Baada ya dr kuondoka, kikaja kipindi cha lisu na wafuasi wake, wao wanaongozwa na hoja ya nguvu: kelele nyingi, matusi kibao, nyodo na dharau ndiyo usiseme.

Amini usiamini, chadema inaelekea shimoni, unless iwe rejuvenated!

tayari imeisha ingia shimoni
 
Yaan we ndo mwehu kabsa! yaan mpaka Leo unaamini magu kaondoshwa na covid.
Pumbav kabsa!
Sio najua nauhakika alipata Covid ndiyo iliyofanya pacemaker yake yakusaidia moyo isifanye kazi. Serikali imeficha hili kwasababu ya misimamo yake ya covid lakini huu ndiyo ukweli na familia yake haitabisha kwenye hili
 
Umekurupuka jiulize Magufuli yuko wapi leo , katibu wake na wafanyakazi wengine wa Ikulu wote Corona! .

Mshukukuru Mungu wewe na sisi hapa tunaweza kuongea na kupumua.

Hili sio swala la kisiasa linakula kutokote.

Corona zinabadilika, dawa zinapatikana, chanjo zinatoa hivyo magojwa yoyote mapya yakianza ni lazima muda uwepo na kusoma ugojwa
Alipo magufuli leo ndipo alipo kaka yake mbowe, ndipo ataenda chiba na huyo mbowe wako. Ndipo wewe na mimi tunaelekea.
 
Alipo magufuli leo ndipo alipo kaka yake mbowe, ndipo ataenda chiba na huyo mbowe wako. Ndipo wewe na mimi tunaelekea.

Wewe ishi kwa haki na toa haki kwenye Dunia hii. Ukishinda kufikiria Magufuli na Mbowe ni binadamu kama wewe na unatakiwa kujiuliza unafanya nini. Usiondoke hapa Duniani kwa fikra za uongo au kujidanganya ni bora sana uwe mkweli kwenye nafsi yako ili kama ukiondoka roho yako isijute. Huu ni ushauri wa bure
 
Wewe ishi kwa haki na toa haki kwenye Dunia hii. Ukishinda kufikiria Magufuli na Mbowe ni binadamu kama wewe na unatakiwa kujiuliza unafanya nini. Usiondoke hapa Duniani kwa fikra za uongo au kujidanganya ni bora sana uwe mkweli kwenye nafsi yako ili kama ukiondoka roho yako isijute. Huu ni ushauri wa bure
Mbowe anaishi kwa haki?
 
Wewe Mkuu na Chadema hamjawai iva chungu kimoja hivyo lolote unalosema kuhusu Chadema upo sahihi sana kwa mtazamo wako.
 
Wewe ishi kwa haki na toa haki kwenye Dunia hii. Ukishinda kufikiria Magufuli na Mbowe ni binadamu kama wewe na unatakiwa kujiuliza unafanya nini. Usiondoke hapa Duniani kwa fikra za uongo au kujidanganya ni bora sana uwe mkweli kwenye nafsi yako ili kama ukiondoka roho yako isijute. Huu ni ushauri wa bure

Nafikiri alipaswa kulipia huo ushauri
 
Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka anavaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid.

Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana.

Mimi nitasema ukweli fitna kwangu mwiko. Tunaona kwenye kikao hakuna aliyevaa Barakoa, hakuna social distance.

Mmekaa kwa uhuru mnajadili. Mbowe hajavaa barakoa wala Gloves.

KATIKA HILI LA CORONA MAGUFULI WAS RIGHT. HATA WASANII NAONA WAMEONA KERO KUIGIZA KUVAA BARAKOA. WALIOCHANJWA NI WACHACHE SANA.

But mnijibu nini kimetokea kwa Covid 19? Hoja za Gwajima zilijibiwa? Gwajima si mkamilifu naye ana mapungufu yake lakini katika Corona binafsi nlikubaliana naye.

Mimi sijachanja na sivai barakoa. Nmezunguka karibia mikoa 20 ya Tanzania toka mwaka 2020 mpaka leo. Sijaumwa Corona.

Sisemi Corona haipo. Ila nachosema tulitaka sana kuiabudu na kuifanya ni hoja ya kuchukulia points.

Watu wanakufa kwa Malaria but hatutembei tumevaa net. Kuna namna ya kujikinga.

Mbona hatuvai barakoa?

Mbona hatuwi na social distance?

Mbona tumeacha kutumia sanitizer?

Siyo dhambi kusema katika hili Magufuli was right.

Halafu tuendelee kumchukia kwa mengine.

Huna hata akili,na waliokupa like ni walewale TU.
Wala sijasoma yote
 
Back
Top Bottom