Swala Corona amelimaliza waziri mwenye dhamana Afya. Umeiza kwa kuwa una hasira nao.Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...