Swala Corona amelimaliza waziri mwenye dhamana Afya. Umeiza kwa kuwa una hasira nao.Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...
Acha kukariri ujinga. Yaani uumwe ugonjwa na usijue uliumwa hahahahhah. Tunasema anaumwa malaria kwa kuangalia dalili au kapima. Sasa mtu yupo busy na mambo yake we unakuja na porojo za ulimwa Corona ila hukuonesha symptoms hahahahhah. Sayansi gani hii?
Usinitumie link,jibu hoja hapa kutoka kwenye akili zako.Au ndio mwendelezo wa kukariri?Infected with the coronavirus but not showing symptoms? A physician answers 5 questions about asymptomatic COVID-19
Your body can be infected and fight off SARS-CoV-2 without your ever noticing.theconversation.com
Wewe acha kutoa ushuhuda wa uongo kuhusu Magufuli hahahahhah.Nani kakambia inachua kila mtu! Magufuli alikuwa na pacemaker kama hujui hii ni nini nenda ka google! Mimi namjua kuanzia nikiwa na miaka 17 mwaka 1992 sasa wewe umeanza kumfahamu lini? Yeye ananijua kwa sura je anakujuwa na wewe au ni chawa tu. Mimi ni family Member hapa kama hujui msiwe wanafiki ! Sisi tumepoteza ndugu na sio Raisi pekee nyie wajinga ndiyo mmesababisha apoteze maisha kwa ushabiki wenu wa kijinga
Wewe ni wakuonewa huruma tu,hata ukijibiwa utataka reliable source,nimekupa reliable source unataka maelezo yangu!Usinitumie link,jibu hoja hapa kutoka kwenye akili zako.Au ndio mwendelezo wa kukariri?
Ujue watu wengine kwa ujinga wao walitaka Covid-19 iwe kama Cholera... Yaani tit for tat... Walipoona gonjwa haliui kwa kasi ile basi wakalete dharau zao.Uliwahi kusikia neno wave au wimbi?
Ukiwa mburula katikati ya mawimbi si nadra kujitangazia ushindi baada ya maombi ya siku 3.
Endelea kuota kwani huo nao ni uhuru wa mtu.
🤣🤣🤣🤣Corona imeisha sasa kuna Putin bwashee!
Ulikuwa ni ufala mtupu na kutishana. Naungana nawe katika hili mkuu!!💪💪💪💪💪Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka a avaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...
Kama huna majibu ya maswali yake ni bora ukakaa kimya boss!!Kesho nenda ukahiji huko burigi hasira zipungue
Sana mkuu!Upeo wako umeishia hapa? Zamani walikuwepo vijana wa chadema wenye kujenga hoja. Hapa katikati wamezaliwa watoto wa 90s na 2000s kichwani hamna kitu. Nawaza wakija ondoka akina Lissu,Heche n.k Chadema itabaki na akina nani? Inasikitisha sana.
Mjibu maswali yake basi mankaaaa!!!Takataka uharo mavi ya kuku
Lissu mwenyewe ni narrow minded sana yeye kwake kila kitu anakitizama kwa miwani ya sheria na uanaharakati.Upeo wako umeishia hapa? Zamani walikuwepo vijana wa chadema wenye kujenga hoja. Hapa katikati wamezaliwa watoto wa 90s na 2000s kichwani hamna kitu. Nawaza wakija ondoka akina Lissu,Heche n.k Chadema itabaki na akina nani? Inasikitisha sana.
Unanipangia cha kusema?Kama huna majibu ya maswali yake ni bora ukakaa kimya boss!!
Tulia sister ...jibu hoja kwa hoja mbona unapaparika kama bisi kikaangoni?
Unaishi wapi? Sasa watu wamechanja na maambukizi yako chini Sana.Corona, Covid 19? Imeisha? Imeishaje ishaje? Mbowe si alikuwa mpaka anavaa gloves zile za waendeshea pikipiki? It was stupid. Nliwahi sema aachane na hayo mambo ya kijinga mkanitukana sana...