Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Lengo la uzi halipo kisiasa wala kuegemea au kushambulia upande wa chama chochote cha kisiasa.
Leo nilikuwa nasikiliza redio stesheni ya Uhuru FM.
Walikuwa wanahoji wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 shule ya Secondary Jangwani kuhusu "kwanini Magufuli miaka mitano mingine"
Ila kuna mwanafunzi mmoja alionesha kaupinzani kidogo.
Kwamba mhe. Rais Magufuli mambo mengi ya construction au wanaita maendeleo ameyafanya Dar na sio sehemu nyingine za Tanzania.
Pia mhe. Amefocus zaidi kwenye vitu kuliko watu.
Ila nilishangaa kuona yule mtangazaji akionyesha kutofurahishwa na maoni yale.
Then akasema "Ukiwa sehemu yenye kundi la watu uchague maneno ya kuongea"
Nadhani alimaanisha usitoe maoni yoyote yanayokwenda against na anavyotaka.
Cha kushangaza zaidi ni pale alipoowambia hao wanafunzi kwamba "hutakiwi kufanya makosa kwani ukikosea leo umejikosea miaka mitano,
Nyie si mnaona alichofanya kwenye elimu hapa?
Sasa hamtakiwi kukosea.
Sasa kwa hali hiyo mbona inaonesha wamewanyima Uhuru wa maoni hao wanafunzi?
Nao kwa uoga imewabidi waseme vitu kama robots walioprogramiwa kusema kitu fulani tu.
Hawaoni kama wanatengeneza watu ambao ni waoga.
Watu ambao hawatoweza kupigania haki zao pale inapobidi.
Wanatengeneza watu ambao bila shaka hawatoweza kufikiria nje ya box na kufuata waliyowekewa kama mnyama aliye tofauti na binadamu.
Mna maoni gani wana JamiiForums?
Au mimi nimeelewa vibaya? Pia kukosoa na kurekebisha itakuwa vizuri zaidi.
Leo nilikuwa nasikiliza redio stesheni ya Uhuru FM.
Walikuwa wanahoji wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 shule ya Secondary Jangwani kuhusu "kwanini Magufuli miaka mitano mingine"
Ila kuna mwanafunzi mmoja alionesha kaupinzani kidogo.
Kwamba mhe. Rais Magufuli mambo mengi ya construction au wanaita maendeleo ameyafanya Dar na sio sehemu nyingine za Tanzania.
Pia mhe. Amefocus zaidi kwenye vitu kuliko watu.
Ila nilishangaa kuona yule mtangazaji akionyesha kutofurahishwa na maoni yale.
Then akasema "Ukiwa sehemu yenye kundi la watu uchague maneno ya kuongea"
Nadhani alimaanisha usitoe maoni yoyote yanayokwenda against na anavyotaka.
Cha kushangaza zaidi ni pale alipoowambia hao wanafunzi kwamba "hutakiwi kufanya makosa kwani ukikosea leo umejikosea miaka mitano,
Nyie si mnaona alichofanya kwenye elimu hapa?
Sasa hamtakiwi kukosea.
Sasa kwa hali hiyo mbona inaonesha wamewanyima Uhuru wa maoni hao wanafunzi?
Nao kwa uoga imewabidi waseme vitu kama robots walioprogramiwa kusema kitu fulani tu.
Hawaoni kama wanatengeneza watu ambao ni waoga.
Watu ambao hawatoweza kupigania haki zao pale inapobidi.
Wanatengeneza watu ambao bila shaka hawatoweza kufikiria nje ya box na kufuata waliyowekewa kama mnyama aliye tofauti na binadamu.
Mna maoni gani wana JamiiForums?
Au mimi nimeelewa vibaya? Pia kukosoa na kurekebisha itakuwa vizuri zaidi.