Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
- Thread starter
- #21
Sina uhakika anajua ama lah.Huyo mwanafunzi anaijua "The Anti Money Laundering Act, 2006 " ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika anajua ama lah.Huyo mwanafunzi anaijua "The Anti Money Laundering Act, 2006 " ?
Labda ametembelea Arusha.Bukoba na Babati akaona stendi za mabasi zilivyo mbovuHuyo dent ametembelea maeneo gani nchini zaidi ya Dar ili kutathmini uwepo wa miradi ya maendeleo? Kwa uelewa wake kama anamaanisha flyover sawa. Je anafahamu kuhusu SGR, bwawa la Nyerere, Viwanja vya ndege, Hospitali na vituo vya afya, barabara zinazounganisha mikoa?
Na hapo ndipo unapovunja haki ya uhuru wa kutoa maoni.Anatoa maoni hasi nyakati hizi za uchaguzi, kwa kiongozi wa CCM, kwenye radio inayomilikiwa na CCM, huyo dogo hana common sense.
Maoni hayakatazwi, tatizo lazima uangalie uanayatolea maoni yako wapi sio kila sehemu kushare mtazamo wako, sehemu nyingine wasome wahusika kwanza.
A level ni watu wazima mkuu.dogo kamfanya jamaa apanic
asiwafokee watoto
watu wazima ila kwangu ni madogoA level ni watu wazima mkuu.
Magufuli for life![emoji316][emoji316][emoji316]Magufuli for life
Kwani hukumuelewa Ndugai aliposema "Watamlazimisha"Now sio mitano tena ila for life jamani
Haijalishi radio ni ya nani.Kwani hiyo ni redio ya nani kwanza?!
Una maana gani mkuu?Na wewe una moyo.
Redio zoote hizi wewe ukaona UHURU ndio inanasa... Au labda redio yako haiwezi kusachi?
Kivipi mkuu kwanini wamnyime mkopo?Kwa maneno hayo huyo mwanafunzi hata form six akifaulu vipi na kupata nafasi ya chuo asahau tu habari ya mkopo. Maana kwa hali ilivyo kwa sasa jinamizi la kauli yake litaendelea kumwandama mgongoni.
Kuna aliyempinga Mtukufu Danyeli Alapo Moi akapona?Kivipi mkuu kwanini wamnyime mkopo?
Kwani ayo yote si kazi ya serikali?Kwanini sifa ziende kwake,labda anatoa mfukoni mwake🙏Huyo dent ametembelea maeneo gani nchini zaidi ya Dar ili kutathmini uwepo wa miradi ya maendeleo? Kwa uelewa wake kama anamaanisha flyover sawa. Je anafahamu kuhusu SGR, bwawa la Nyerere, Viwanja vya ndege, Hospitali na vituo vya afya, barabara zinazounganisha mikoa?
Usimfundishe kijana ujinga.Huyo dent ametembelea maeneo gani nchini zaidi ya Dar ili kutathmini uwepo wa miradi ya maendeleo? Kwa uelewa wake kama anamaanisha flyover sawa. Je anafahamu kuhusu SGR, bwawa la Nyerere, Viwanja vya ndege, Hospitali na vituo vya afya, barabara zinazounganisha mikoa?
Akili za kuambiwq achanganye na za kwakeLengo la uzi halipo kisiasa wala kuegemea au kushambulia upande wa chama chochote cha kisiasa.
Leo nilikuwa nasikiliza redio stesheni ya Uhuru FM.
Walikuwa wanahoji wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 shule ya Secondary Jangwani kuhusu "kwanini Magufuli miaka mitano mingine"
Ila kuna mwanafunzi mmoja alionesha kaupinzani kidogo.
Kwamba mhe. Rais Magufuli mambo mengi ya construction au wanaita maendeleo ameyafanya Dar na sio sehemu nyingine za Tanzania.
Pia mhe. Amefocus zaidi kwenye vitu kuliko watu.
Ila nilishangaa kuona yule mtangazaji akionyesha kutofurahishwa na maoni yale.
Then akasema "Ukiwa sehemu yenye kundi la watu uchague maneno ya kuongea"
Nadhani alimaanisha usitoe maoni yoyote yanayokwenda against na anavyotaka.
Cha kushangaza zaidi ni pale alipoowambia hao wanafunzi kwamba "hutakiwi kufanya makosa kwani ukikosea leo umejikosea miaka mitano,
Nyie si mnaona alichofanya kwenye elimu hapa?
Sasa hamtakiwi kukosea.
Sasa kwa hali hiyo mbona inaonesha wamewanyima Uhuru wa maoni hao wanafunzi?
Nao kwa uoga imewabidi waseme vitu kama robots walioprogramiwa kusema kitu fulani tu.
Hawaoni kama wanatengeneza watu ambao ni waoga.
Watu ambao hawatoweza kupigania haki zao pale inapobidi.
Wanatengeneza watu ambao bila shaka hawatoweza kufikiria nje ya box na kufuata waliyowekewa kama mnyama aliye tofauti na binadamu.
Mna maoni gani wana JamiiForums?
Au mimi nimeelewa vibaya? Pia kukosoa na kurekebisha itakuwa vizuri zaidi.