Haya maneno ya mtangazaji wa Uhuru FM kwa wanafunzi wa Jangwani mnayaonaje?

Labda ametembelea Arusha.Bukoba na Babati akaona stendi za mabasi zilivyo mbovu
 
Na hapo ndipo unapovunja haki ya uhuru wa kutoa maoni.

Kukosolewa ni lazima ili ajirekebishe sababu wao ndio watakaoumia.
Sasa kama rais anafanya yasiokidhi mahitaji ya wananchi kwanini asikosolewe?
Yaani niendelee kukaa na mambo yasiyo kidhi sababu unaogopa kumkosoa rais?
Hapo ndipo unapotengeneza watu waoga waoga wasioweza kupigania haki zao kama hao wanafunzi wengine.
Rais ni kiongozi wa wananchi na sio vinginevyo hivyo ni wajibu wake kufanya kile wananchi wanataka.

Huyo mwanafunzi anayo common sense sababu anajua kipi sahihi na nini anataka sio hao wengine waoga.

Uoga ni umasikini.

Na ukumbuke rais yupo kwa ajili ya wananchi na sio wananchi wapo kwa ajiri ya rais.
 
Kutishana tishana tu

Upuuzi mtupu

Huwezi lazimisha wote tuwe sawa kimawazo na kifikra

Inakera sana

Ila yatapita haya na itabaki historia iko siku
 
Kwa maneno hayo huyo mwanafunzi hata form six akifaulu vipi na kupata nafasi ya chuo asahau tu habari ya mkopo. Maana kwa hali ilivyo kwa sasa jinamizi la kauli yake litaendelea kumwandama mgongoni.
 
Kwani hiyo ni redio ya nani kwanza?!
Haijalishi radio ni ya nani.
Kufanya hivyo ni kuwanyima haki yao hao wanafunzi.

Africans niwaoga sana na ndio maana ni masikini.
Sasa huyo mwanafunzi asitoe maoni yake ya kweli kisa ni radio ya fulani na atoe tu maoni feki kisa radio ni ya fulani.
Huo ni uoga na ujinga.

Rais yupo kwa ajili ya wananchi na sio wananchi wapo kwa ajili ya rais.

Uoga ni umasikini.
 
Na wewe una moyo.
Redio zoote hizi wewe ukaona UHURU ndio inanasa... Au labda redio yako haiwezi kusachi?
 
Kwa maneno hayo huyo mwanafunzi hata form six akifaulu vipi na kupata nafasi ya chuo asahau tu habari ya mkopo. Maana kwa hali ilivyo kwa sasa jinamizi la kauli yake litaendelea kumwandama mgongoni.
Kivipi mkuu kwanini wamnyime mkopo?
Au kukosoa serikali ndio wamnyime mkopo?

Kama ni hivyo basi hakuna haki.
 
Kwani ayo yote si kazi ya serikali?Kwanini sifa ziende kwake,labda anatoa mfukoni mwake🙏
 
Huyo mtangazaji zwazwa sana,ili mdahalo unoge lazima kuwe na msigano wa pande mbili,vinginevyo huo haukuwa mdahalo bali kipindi cha kusifu na kumuabudu jiwe
 
Usimfundishe kijana ujinga.
 
Akili za kuambiwq achanganye na za kwake
 
Mkuu hivi hii radio kwani bado ipo kweli?
Au unaisemea ile radio ccm-'tibisii'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…