Hivi kwanini mnaona wanaomsifia Magu kuwa wamepangwa, ni waoga na mioyoni hawampendi??
Yaani nyie mna uwezo wa kuona ndani ya mioyo ya watu kuwa hawampendi Magu lakini hamuwezi kuona ndani ya mioyo hiyo hiyo kuwa wanampenda??
Ukitaka demokrasia kubali pia demokadhia..[emoji53][emoji53]