Haya maneno yana ukweli kiasi gani?

Haya maneno yana ukweli kiasi gani?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Mzee mmoja akasema; Ingechukua miaka 100 Magufuli kukomboa watu wengi katika nchi hii; sasa Itachukua miaka 1000 kukomboa taifa hili.

Akaendelea kusema, ingawaje alikuwa akiumiza wachache Kwa maumivu makali Kwa ajili ya wengi; Sasa Wengi wataumia maumivu ya POLEPOLE Kwa ajili ya wachache"

Mwisho wa kunukuu!

Taikon nilitaka kubisha Kama ilivyokawaida yangu, lakini Yule Mzee akanizuia kusema, akasema; ubishi ni mzuri ikiwa lengo lake ni kujifunza, halikadhalika na kukaa kimya ni kuzuri Kama lengo lake ni kujifunza.
Akaniambia nikae kimya .

Maneno haya yanamaana gani Wakuu?
 
Kwema Wakuu!

Mzee mmoja akasema; Ingechukua miaka 100 Magufuli kukomboa watu wengi katika nchi hii; sasa Itachukua miaka 1000 kukomboa taifa hili.

Akaendelea kusema, ingawaje alikuwa akiumiza wachache Kwa maumivu makali Kwa ajili ya wengi; Sasa Wengi wataumia maumivu ya POLEPOLE Kwa ajili ya wachache"

Mwisho wa kunukuu!

Taikon nilitaka kubisha Kama ilivyokawaida yangu, lakini Yule Mzee akanizuia kusema, akasema; ubishi ni mzuri ikiwa lengo lake ni kujifunza, halikadhalika na kukaa kimya ni kuzuri Kama lengo lake ni kujifunza.
Akaniambia nikae kimya .

Maneno haya yanamaana gani Wakuu?

Jaribu Kufikiria Tozo Za Miamala Walitangaza once Mwezi Ule wa Kwanza Wamekusanya Bil. 48... Sasa Zinapigwa POLE POLE kimya kimya na Wajanja Wachache.
 
Kwa sasa tuko kwenye "Survival of the fittest"

Only the strong will survive! While the weak will be perished.


Mtanzania kataa unyonge! Acha mara moja kudanganywa na wanasiasa uchwara kwa kofia, vitenge, kanga, pilau, nk. Halafu unaendelea kuishi maisha ya dhiki miaka nenda!
 
Kusema ukweli CCM hii nchi imewashinda ni heri wangetuachia Tu nchi yetu..

Nchi imedumaa,uchumi upo dormant,raia tunazeeka kabla ya wakati,wakenya wanazidi kuingia nchini wanachuma kisha wanasepa,Sera mbovu za uchumi,viongozi hawana exposure,viongozi hawana mawazo mapya ktk vyanzo vipya vya Kodi ili kukuza uchumi,vijana wanajiajiri mtandaoni serikali inakuja na Sera na kodi za ajabu ajabu

Wakati wenzetu Kenya wanaamua kuja kuwafundisha watoto coding kuanzia primary,huku kwetu Viongozi wa CCM wanajadili bungeni kukifanya Kiswahili kiwe lugha ya kufndishia wakati watoto wao hawasomi shule za kata,waponshule za kiingereza,elimu mbovu

Mpaka leo Tz hakuna huduma ya PayPal..CCM wametufelisha pakubwa sn





Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
yule mzee kuna watu alikuwa akiwaumiza bila sababu za msingi kabisa,nilimsikia jasusi membe akieleza jinsi alivyomkosesha nafasi ya kule majuu licha ya kubemvelezwa kama mtoto na akina Uhuru Kenyatta wa Kenya
 
Kwema Wakuu!

Mzee mmoja akasema; Ingechukua miaka 100 Magufuli kukomboa watu wengi katika nchi hii; sasa Itachukua miaka 1000 kukomboa taifa hili.

Akaendelea kusema, ingawaje alikuwa akiumiza wachache Kwa maumivu makali Kwa ajili ya wengi; Sasa Wengi wataumia maumivu ya POLEPOLE Kwa ajili ya wachache"

Mwisho wa kunukuu!

Taikon nilitaka kubisha Kama ilivyokawaida yangu, lakini Yule Mzee akanizuia kusema, akasema; ubishi ni mzuri ikiwa lengo lake ni kujifunza, halikadhalika na kukaa kimya ni kuzuri Kama lengo lake ni kujifunza.
Akaniambia nikae kimya .

Maneno haya yanamaana gani Wakuu?
Ni maneno ya wajinga wengi wa nchi hii waliodanganyika vilivyo wakifikiri kwa akili zao finyu eti Magufuli alikuwa kiongozi mzuri!!!
 
Wote tunampenda Magufuli, ila nyie wenzetu ni vichaa wa kupenda.
 
Kwema Wakuu!

Mzee mmoja akasema; Ingechukua miaka 100 Magufuli kukomboa watu wengi katika nchi hii; sasa Itachukua miaka 1000 kukomboa taifa hili.

Akaendelea kusema, ingawaje alikuwa akiumiza wachache Kwa maumivu makali Kwa ajili ya wengi; Sasa Wengi wataumia maumivu ya POLEPOLE Kwa ajili ya wachache"

Mwisho wa kunukuu!

Taikon nilitaka kubisha Kama ilivyokawaida yangu, lakini Yule Mzee akanizuia kusema, akasema; ubishi ni mzuri ikiwa lengo lake ni kujifunza, halikadhalika na kukaa kimya ni kuzuri Kama lengo lake ni kujifunza.
Akaniambia nikae kimya .

Maneno haya yanamaana gani Wakuu?


Wachache sana watakaolewa hii !!
 
Back
Top Bottom