Haya mapenzi balaa! huyu Diva wa Clouds FM kazidi jamani

kwajinsi ulivyo mkali wa picha lazima tukuinterview,ila mbona uzi huu hujaleta picha?? au ndo unaogopa utapigwa chini??

kweli mkuu tupia picha! Hasa ya huyu diva. Maana naskia ni kisu noma.
 

kwa kabila lake wala sishangai ngoja nami niombe intavyuu
 
Diva yumo humu kweli mkuu?

This is a sign that you too might need an interview.:tape:

ila mshua wake yupo humu alikua anatumia bishanga cjui kama walimverify maana alipokua anatafta urais akatoa na link hyo
 
watu mnaponda!!!!!ila mkiitwa nyinyi hivyo meno yote nje..
 
Bro Zitto ndo alikua ana kaza hapo

Now amiri jeshi mkuu wa ECT ARMY ndo anaoa kabisa.

so ni shemeji bado.

AM EAST COAST ARMY'S DIE HARD FAN!

Mhe. Naomi Kaihula jiandae Mkwe ndio keshajilengesha kwa mwanao na anataka kabla mwaka huu haujaisha akuletee mjukuu. .
 
Diva hana lolote na kipindi anacho endesha hapo mawingu n upuuzi mtupu,smpendi sana huyu dada.Kanapenda wanaume huuenda kanapepo la ngono haka ka mdada.Kangekaa na fety akashauri maana hakajielewi.
 
Kwako KING na vijana wengine, kuwa makini na wanawake wanaokukubalia wakati wanajuauna uhusiano na mtu mwingine na wakati huohuo nae ana uhusiano na mwingine that wo'nt be real love.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…