Haya mapenzi balaa! huyu Diva wa Clouds FM kazidi jamani

Haya mapenzi balaa! huyu Diva wa Clouds FM kazidi jamani

Huyo "Boyfriend mtu mzima kidogo" ni nani?
 
Kila akiwa na mpenzii my love 'my king 'my sweet hata kwa Prezo ilikua hivhiviii kwa zito kabwe alipambwa kwelii anafaa kua raisiii leo yako wapiiii hahhha hajatulia halaf wote anawapata kwenye hizo interview akitoka Gk atakuja msanii mwingine akienda tu kuhojiwaa nae atapitaa na atabaki kusema love at first sight
Somo la fursa nadhani linalotolewa na ofisi yake alilielewa kwa style nyingine, hivyo na yeye anatumia fursa kupata wake wa ubani
 
sasa angechagua makubwa GK angempa???,?,??, na wakati uwezo wake ni ice cream
Mwanzo huwa wengine wanajifanya hawana makuu, ukimpelekea apple kadhaa, juice, soseji, pringles anakusifia kweli kumbe anakulia timing baadae anaungurumisha mzinga wa haja, King akiingia mitini anakuja na story zingine wakati huo yupo na Jodoki
 
Mwanzo huwa wengine wanajifanya hawana makuu, ukimpelekea apple kadhaa, juice, soseji, pringles anakusifia kweli kumbe anakulia timing baadae anaungurumisha mzinga wa haja, King akiingia mitini anakuja na story zingine wakati huo yupo na Jodoki

meona eeeeh
 
kwa kabila lake wala sishangai ngoja nami niombe intavyuu
Kwani kabila gani? yeye si mtu wa Tanga (amefuata kabila la mama nadhani) maana baba yake si huyu president wa T.F ambae ni mwenyeji wa BK
 
Uzur wa mwanamke ni tabia huyo anae owa hasara yk kesho tutasikia mengine tamaa zinawaponza
 
Tatzo lake matangazo mengi angesubir ndoa ikarbie aweke matangazo yake
 
Back
Top Bottom