Haya mapenzi sio ya kawaida jamani

🤣🤣Acha kunikumbusha mzeee nlipiga hesabu Hela ikawa inapelea kidogo kweny kununua vitu nkafataga godoro kiwandani tulitoa kimagendo ili chumba kipangishike maisha yaende
Hustler,
Tunapiga izoo zoteee wanaume tunapambania sana KOMBE...
 
Yaani hao ni wauza papuchi kama wale wa telegram na tinder sema wanajipa grade tu
 
Stori za kubuni
 
Nimecheka mpaka basi.
Jamaa ana fimbo ya myonge passport size?
 
Hii level ya dharau iwekewe lamination.
Kaka achana nae hzi fake ID zinaficha mengi, huyo utakuta kajibanza Kwa ndugu yake asubuhi anashikilia bomba kivule kariakoo kukaa kwenye duka la simu aendelee kula commission! Akifika kazini anascan wifi ndo aingie humu🤣🤣

Kaka wenye hela hawana mbwembwe shida inakua sisi wa kumulikiwa tochi na Mungu
 
Atakuwa ni wakiume huyo; sisi wanaume huwa tuna maamuzi magumu, pangechimbika hapo
 
Hahahahah
 
Natumia maneno mawili: Jamaa amelogwa.
 
Ajali kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…