Haya mapenzi sio ya kawaida jamani

Haya mapenzi sio ya kawaida jamani

Acha tu kaka Kuna masela wanakera!

Kuna jamaang moja tulitoka kitaa kimoja huko Geneva ya Africa katika pita pita za kusaka shillingi Mungu akamulikia tochi michongo yake ikatiki.

Akapata demu wa kitanga demu ni mkali kinoma akampa demu mtaji wa biashara 4M+

Demu alikula hela yote akaolewa na mtu mwngn
Mkuu,
Mdada kama huyo usipo mchoma bisi bisi machoni na kumng'oa meno Kwa prize....☺️☺️☺️😊😊

Kipindi nikiwa chuo Kuna mshikaji alikua ananiambia Kwa jinsi anavyo jua UGUMU jinsi baba Ake anavyo pata pesa.....

Nanukuu,
Pesa ya wazazi wangu sio ya kulia Bata.

Vice versa Kwa Malaya atakuchuna balaa datc why hata kipindi Cha ujanani mwangu nilikua nikikumbuka hustle zoteee....
Mademu wapiga virungu nilikua najua kudeal now
 
Kuna jamaa yg mmoja yeye anampenda sana mke wake ,kiukweli upendo ule sijawai kukuona

Cha kwanza jamaa hana kazi maalumu Kila dili ngumu ye anapiga tu , ila anahakikisha mkewe anapata mahitaji yote muhimu

Jamaa humnunulia mkewe nguo za thamani na kumpa vitu vyote vizuri
, Cha ajabu mkewe ni kicheche sana

Tukio la ajabu Kuna siku mke aliondoka ghafla pasipo mume kujua , Sasa tulimtafuta sanaaa hakupatikana baada ya wiki tukapata taalifa Yuko salasala benako Kuna mchizi anabiga mbupu kafungia ndani

Akatuchukua ili tumpe kampani ya kwenda kufanya Fuji ili kumuonesha mshikaji ubabe , kama vipi timsaule Kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee tukatoka na hasira tukiwa na silaha mbalimbali za jadi huku njiani tukijiapiza haiwezekani fala mmoja kuja kuchukua mke wa swahiba wetu na kwenda kumfungia ndani

Ebwanaaa kufika eneo la tukio ohoooo
Ile tunataka kulianzisha , huyu jamaa wetu mwenye mke akapoa tunaona mtu anapiga magoti huku anaelekea alipokaa mke wake Tena huku anaomba msamaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee tulipata hasira sana Tena jamaa alitefedhehesha mno , ye ndio kwanza anatuambua jamani acheni fujo ngoja niongee na mke wg , mke akawa anagoma kuondoka , ikabidi amwambie mgoni wake bana niachie mke wg siku zote umekaa nae hujatosheka tu

Jamaa akamjibu ongea na mkeo mi kosa lg lipi , kuongea na mkewe mke akamwambia niachie nauli ya boda nakuja kesho
Swahiba wetu akachomoa 10000 akamuachia tukaondoka , kesho yke asubui mke akaja wakaendelea na maisha

Mimi binafsi nasema ,unaweza jua umeona na kusikia vitu vingi , kumbe ni mengi hatujayajua Duniani tuvijuavyo ni theruthi tu
"Aisee tukatoka na hasira tukiwa na silaha mbalimbali za jadi"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu,
Mdada kama huyo usipo mchoma bisi bisi machoni na kumng'oa meno Kwa prize....☺️☺️☺️😊😊

Kipindi nikiwa chuo Kuna mshikaji alikua ananiambia Kwa jinsi anavyo jua UGUMU jinsi baba Ake anavyo pata pesa.....

Nanukuu,
Pesa ya wazazi wangu sio ya kulia Bata.

Vice versa Kwa Malaya atakuchuna balaa datc why hata kipindi Cha ujanani mwangu nilikua nikikumbuka hustle zoteee....
Mademu wapiga virungu nilikua najua kudeal now
Tena ukute Kuna ile stage maisha unaanza zero, unaanza Kwa kujibanza Kwa waliotangulia kufika mjini ujikusanye kusanye mwisho upate mtaji afu kirahis mdada ale hela aiseeee!!!

Uzur kila siku maisha yanatoa fursa na mafunzo acha waliwe hela
 
Kuna jamaa yg mmoja yeye anampenda sana mke wake ,kiukweli upendo ule sijawai kukuona

Cha kwanza jamaa hana kazi maalumu Kila dili ngumu ye anapiga tu , ila anahakikisha mkewe anapata mahitaji yote muhimu

Jamaa humnunulia mkewe nguo za thamani na kumpa vitu vyote vizuri
, Cha ajabu mkewe ni kicheche sana

Tukio la ajabu Kuna siku mke aliondoka ghafla pasipo mume kujua , Sasa tulimtafuta sanaaa hakupatikana baada ya wiki tukapata taalifa Yuko salasala benako Kuna mchizi anabiga mbupu kafungia ndani

Akatuchukua ili tumpe kampani ya kwenda kufanya Fuji ili kumuonesha mshikaji ubabe , kama vipi timsaule Kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee tukatoka na hasira tukiwa na silaha mbalimbali za jadi huku njiani tukijiapiza haiwezekani fala mmoja kuja kuchukua mke wa swahiba wetu na kwenda kumfungia ndani

Ebwanaaa kufika eneo la tukio ohoooo
Ile tunataka kulianzisha , huyu jamaa wetu mwenye mke akapoa tunaona mtu anapiga magoti huku anaelekea alipokaa mke wake Tena huku anaomba msamaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee tulipata hasira sana Tena jamaa alitefedhehesha mno , ye ndio kwanza anatuambua jamani acheni fujo ngoja niongee na mke wg , mke akawa anagoma kuondoka , ikabidi amwambie mgoni wake bana niachie mke wg siku zote umekaa nae hujatosheka tu

Jamaa akamjibu ongea na mkeo mi kosa lg lipi , kuongea na mkewe mke akamwambia niachie nauli ya boda nakuja kesho
Swahiba wetu akachomoa 10000 akamuachia tukaondoka , kesho yke asubui mke akaja wakaendelea na maisha

Mimi binafsi nasema ,unaweza jua umeona na kusikia vitu vingi , kumbe ni mengi hatujayajua Duniani tuvijuavyo ni theruthi tu
Bado ya moto moto sana hii
JamiiForums-99382818.jpg
JamiiForums561838404.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanawake ni chuma ulete Hana uchungu na Hela ya mwanaume. Mimi nikikutana nao nawatumia kweli mpaka Hela yangu anaiona chungu ie siku izi ndio maana wengi wanapoteza marinda
Once upon a time nilipokuja gundua pesa zangu NDIO watu wanalia Bata huku Mimi na jibana Ili kusaidia watu.......
Wanaume wenzangu tusisaidie watu kupita kiasi au kuhonga kiasi Cha kushindwa ku enjoy pesa za jasho LETU 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Back
Top Bottom