Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mtu akikuamini hatashindwa kukusaidia 😁😁 hakikisha awe hovyo kidogo kichwani! Ila born town hawaweziNyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akikuamini hatashindwa kukusaidia 😁😁 hakikisha awe hovyo kidogo kichwani! Ila born town hawaweziNyingi sana
Ndio ivo unafanya assessment ndogo je uyu ni mke au kipozeo na kama kipozeo Kwanini anajipa dhamani iyo in return Mimi nitapata Nini kulingana na ninachotoa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku naenda kazini Kuna manzi akaniambia nimsaidie laki nane ya Kodi, wakati huo nkifanya analysis ya mwezi najikuta naangukia jiwe Tano
Kuwa hovyo maana yake awe hajielewi kidogo[emoji2960][emoji2960]Mtu akikuamini hatashindwa kukusaidia [emoji16][emoji16] hakikisha awe hovyo kidogo kichwani! Ila born town hawawezi
Yaan Ile stage ukinunua kitanda mshahara umeisha...ukinunua fredge mshahara umeisha...ukinunua smart tv inch 32 mshahara umeisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😊😊😊😊😊Tena ukute Kuna ile stage maisha unaanza zero, unaanza Kwa kujibanza Kwa waliotangulia kufika mjini ujikusanye kusanye mwisho upate mtaji afu kirahis mdada ale hela aiseeee!!!
Uzur kila siku maisha yanatoa fursa na mafunzo acha waliwe hela
Raha ni kula jasho lako sio kuwa mshumaa unamulika wenzio wewe unateketeaOnce upon a time nilipokuja gundua pesa zangu NDIO watu wanalia Bata huku Mimi na jibana Ili kusaidia watu.......
Wanaume wenzangu tusisaidie watu kupita kiasi au kuhonga kiasi Cha kushindwa ku enjoy pesa za jasho LETU [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mm na allergies na wapiga mizinga maana ni rahisi Kwao kutembeza PAPUCHI a.k.a MBUSUSU Ili mradi watimize Marengo Yao...unakuta yupo kwenye vikoba vinne🤣🤣🤣😊😊Ndio ivo unafanya assessment ndogo je uyu ni mke au kipozeo na kama kipozeo Kwanini anajipa dhamani iyo in return Mimi nitapata Nini kulingana na ninachotoa?
Afu hata hajanibless kaanza na kirungu tu jiwe naneNdio ivo unafanya assessment ndogo je uyu ni mke au kipozeo na kama kipozeo Kwanini anajipa dhamani iyo in return Mimi nitapata Nini kulingana na ninachotoa?
[emoji23][emoji23][emoji23]Na Huyo jamaa ni wewe
Asiwe na exposure sana na wanawake.... At least awe mgeni kwenye field ya mapenziKuwa hovyo maana yake awe hajielewi kidogo[emoji2960][emoji2960]
For sure apart nina familia now ila time with time huwa najipa outing (Bata) mwenyewe 😊😊Raha ni kula jasho lako sio kuwa mshumaa unamulika wenzio wewe unateketea
🤣🤣Acha kunikumbusha mzeee nlipiga hesabu Hela ikawa inapelea kidogo kweny kununua vitu nkafataga godoro kiwandani tulitoa kimagendo ili chumba kipangishike maisha yaendeYaan Ile stage ukinunua kitanda mshahara umeisha...ukinunua fredge mshahara umeisha...ukinunua smart tv inch 32 mshahara umeisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😊😊😊😊😊
Unajipanga hapo duu
Njoo PM tuyajenge 😉😉Jamani kumbe kuna watu wanaopewa 4m+ na hamsemi[emoji848][emoji848]
Ndio maana yake kwanza wanaume tunakufa mapemaFor sure apart nina familia now ila time with time huwa najipa outing (Bata) mwenyewe [emoji4][emoji4]
Mkuu,Unaanza maisha na kuhonga mbona vitu haviendani hivyo 😅😅😅.. Ajifunze na makosa mpe mwanamke kiasi cha hela ambacho hakito kuumiza hata akilala mbele
Nikweli wanaume tunabeba mengi sana vifuani mwetu....Ndio maana yake kwanza wanaume tunakufa mapema
Iyo ilikua style ya kukukataa bila kusema sitaki ndio madada wa mjini siku izi wanavyofanyaAfu hata hajanibless kaanza na kirungu tu jiwe nane