Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wanadhan Kila mtu anaishi masakiWatoto waliozaliwa Masaki kawaida kuwa na dharau kama hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanadhan Kila mtu anaishi masakiWatoto waliozaliwa Masaki kawaida kuwa na dharau kama hizo.
Huwezi kuamini najua ila ni kweli kabisaaStori za kubuni
Watoto wa mama haoWanadhan Kila mtu anaishi masaki
Huenda aiseeNatumia maneno mawili: Jamaa amelogwa.
4M+ kawaida tu, wala sio ya kujiliza liza.
Alooo mimi nilimpa dem 100k tu ila siku hiyo nilihisi mapigo ya moyo yameongezeka yaani nilikua najiskia joto kila muda Sitakaa nirudie ule mchezo hadi wife alikua ananiuliza leo haupo sawa namjibu nimepoteza hela anacheka anasema utapata zingine ila mimi simuelewi kabisa natamani nimwambie yule demu rudisha dah sitasahau ile siku. Sikuhizi mtu akiniomba hela namwambia aje achukue nikishamla nampa hela ya usafiri akisepa na mm ndio basi tena.Unaanza maisha na kuhonga mbona vitu haviendani hivyo 😅😅😅.. Ajifunze na makosa mpe mwanamke kiasi cha hela ambacho hakito kuumiza hata akilala mbele
Jf hii usichukulie serious comments mkuu 😅😅😅😅😅Bosss mkubwa A.K.A Kiongozii hongera sanaa kama hii kauli unaishi nayo.
Ila mi binafsi hii hela (4Mil) ni kubwa sanaa.
Hapa nilipo Niko natafuta 4m ili ninunue asset fulani hivi ya kutumika kwenye duka langu.
Na hapa nishasave 1.2mil hivyo bado Niko safari ndefu hasaa kufika hiyo 4mil
#YNWA
Hakika kwenye hii safari tutafika tukiwa tumechoka sana ..
Kabisa mdauHakika kwenye hii safari tutafika tukiwa tumechoka sana ..
Watu wanabuluzwa SI mchazoYaani vifuu kama hivi vimejaa mtaani,tena unakuta manzi hata si mzuri sana Wala nn,kweli uchawi upo.
Ujiandae kupambana na ukoo mzima😂.
😂😂Ujiandae kupambana na ukoo mzima😂.
Ahahaha unadhani sikuwa nimekuelewa, Mrs Kipwipwi..?😂😂
Mie nakutoboa na mapenzi mingi tu baba angu,
Bado nitapambana na ukoo..??
😂😂Ahahaha unadhani sikuwa nimekuelewa, Mrs Kipwipwi..?
😂
🤣🤣Una uhakika?Kashatengenezwa huyo, plus kufinyiwa kwa ndani