Kwani hana uwezo wa kufanya tujue yupo bila kutukomoa??? Et babu[emoji848][emoji848]Wakati mwingine Mungu anatupitisha kwenye Mitihani ili walau kupata nafasi ya kumkumbuka kwamba alikwepo/yupo/ataendelea kuwepo.
Kama anaweza kuhamisha milima, vipi kuhusu hayo maradhi madogo ya macho/matumbo.
Alie kuambia mleta Uzi yuko Dar ni nani?[emoji23][emoji23]Matumbo ya lini hiyo? Mbona ilipita kimya? Macho mekundu Dar peke yenu⦠Dar mnapitia mengi jaman
Utakuwa nje ya nchi labda.Macho mekundu nilipo sikuisikia wala kuiona kabisa
Inaonekana umekaa mkoa mmoja tu. Huzunguki, hutembei.Utakuwa nje ya nchi labda.
Matacco kuuma bila Sababu kha!! πππ!
Na bado inaendelea kusumbua !!Macho mekundu inasumbua sehemu nyingi sio dar peke yake ila hiyo ya matako tena mpya hiyo
No body knows. Hata familia yake haielewi na ni kama hawaamini mambo hayo. Kutwa wapo nae Hospitali
Huu unawahusu wateja wa Bajaji na Bodaboda.MATAKO KUUMA
Anapenda kutumia mbinu ngumu ngumu hasa.Kwani hana uwezo wa kufanya tujue yupo bila kutukomoa??? Et babu[emoji848][emoji848]
Taarifa nilizo nazo zinaonesha red eye ilisumbua Sana wakazi wa KigambonPolee sana ila sisi huku kigamboni hatuna maradhi ya ajabu ajabu huku hakuna aliye umwa macho kuwa mekundu ila kipindi cha korona mji mzima tuliwekwa karantini sio powaπ€£ππ
Sio kweliTaarifa nilizo nazo zinaonesha red eye ilisumbua Sana wakazi wa Kigambon