Loyalty
Katika watu wengi wenye uwezo JF mmoja wapo ni huyu
fazili kipindi cha Magufuli alikuwa akiandika mada za ushauri ambazo topic zake zina depth ya mtu mwenye elimu kubwa and thought provoking.
Alipoingia Samia akaanza uchawa na kupeleka akili zake anapojua mwenyewe, binafsi nililumbana nae sana yeye akimsifia huyu mama na ni mimi nikiwa namponda.
Leo kageuka mpondaji mkubwa, hakuna shida.
Iła ni muhimu sana wana JF kujifunza kwa
FaizaFoxy kama unatetea mtu anapoboronga na umeona anaboronga ni bora uachie wengine watwange au njoo na ID nyingine ya kutwanga sio ile ile uliyokuwa unajitoa wazimu kutetea ujinga wa bi-tozo.
Personal nilijua huyu mama atafikia hatua aliyepo leo. Hatokuwa na support ya upande wowote kwa sababu hana misimamo na amejikita kujaribu kumfurahisha kila jambo ambalo haliwezekani kwenye maisha ya mtaani tu let alone kwa raisi wa nchi. Jumlisha na maamuzi yake ya kifisadi.
It goes to show wale tuliokuwa tunakuponda mwanzoni bi-tozo usitoke barabara uliyoikuta, hizo zingine ni kelele tu, ndio tuliokuwa tunakutakia mema.
Hawa wengine ni watafuta maslahi tu