Haya matamasha na marathons kwanini yanafanyika nyumbani kwa viongozi wakubwa tu?

Haya matamasha na marathons kwanini yanafanyika nyumbani kwa viongozi wakubwa tu?

Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii.

Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika kijijini alipotokea Rais Samia. Pia hivi majuzi tulishuhudia Tulia Marathon huko Mbeya alipotokea Spika Tulia Akson.

Na leo nimeona Ruangwa Marathon ikifanyika huko Ruangwa alipotokea waziri mkuu Kassim Majaliwa. Nini kinafanya matukio haya yafanyike wanapotokea viongozi wakubwa tu? Je maeneo mengine hawastahili kuwa na matukio haya?

Je sports complex kubwa ya kimataifa na uwanja wa mpira wa miguu mkubwa kuliko ule wa Amani Zanzibar unaojengwa huko kijijini Kizmkaz ni kwa ushawishi wa nani? Je campus mbili za University of Dar es Salaam zinazojengwa kwa wakati mmoja Ruangwa ni upendeleo au kuna kitu gani?
Hizo, ni kampeni tu, wana Pima kama bado wanakubalika, richa ya, kwamba wataiba kura, lakini angalau wapunguze kiasi cha wizi, maana richa ya kuwa mi ccm ni mijizi, lakini Ina, haya kidogo, mbele ya macho ya dunia, USA/UK,
 
Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii.

Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika kijijini alipotokea Rais Samia. Pia hivi majuzi tulishuhudia Tulia Marathon huko Mbeya alipotokea Spika Tulia Akson.

Na leo nimeona Ruangwa Marathon ikifanyika huko Ruangwa alipotokea waziri mkuu Kassim Majaliwa. Nini kinafanya matukio haya yafanyike wanapotokea viongozi wakubwa tu? Je maeneo mengine hawastahili kuwa na matukio haya?

Je sports complex kubwa ya kimataifa na uwanja wa mpira wa miguu mkubwa kuliko ule wa Amani Zanzibar unaojengwa huko kijijini Kizmkaz ni kwa ushawishi wa nani? Je campus mbili za University of Dar es Salaam zinazojengwa kwa wakati mmoja Ruangwa ni upendeleo au kuna kitu gani?
Hayo matamasha ni sehemu ya kampeni za kisiasa
 
Duh.. Sijui kwa nini Watanzania hawataki Ruangwa paendelee. Hayo maeneo yalitupwa na serikali kwa muda mrefu. Acheni sasahivi na wao waonje raha ya maendeleo. Marathon zikifanyika huko kuna shida gani? Kwani si ni Tanzania?
Yani nyinyi mnataka mambo mazuri yafanyike mjini tu 😏
 
Kumbe Ruangwa kunajengwa kampus za vyuo kama Udsm.. ni sehemu zipi hizo..?
 
Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii.

Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika kijijini alipotokea Rais Samia. Pia hivi majuzi tulishuhudia Tulia Marathon huko Mbeya alipotokea Spika Tulia Akson.

Na leo nimeona Ruangwa Marathon ikifanyika huko Ruangwa alipotokea waziri mkuu Kassim Majaliwa. Nini kinafanya matukio haya yafanyike wanapotokea viongozi wakubwa tu? Je maeneo mengine hawastahili kuwa na matukio haya?

Je sports complex kubwa ya kimataifa na uwanja wa mpira wa miguu mkubwa kuliko ule wa Amani Zanzibar unaojengwa huko kijijini Kizmkaz ni kwa ushawishi wa nani? Je campus mbili za University of Dar es Salaam zinazojengwa kwa wakati mmoja Ruangwa ni upendeleo au kuna kitu gani?
Cheap politics
 
Nimeona matamasha na marathons nyingi zikifanyika kwenye majimbo na mikoa walipotokea viongozi wakubwa wa nchi hii.

Mfano ni Tamasha la Kizimkazi lililomalizika hivi majuzi na lilifanyika kijijini alipotokea Rais Samia. Pia hivi majuzi tulishuhudia Tulia Marathon huko Mbeya alipotokea Spika Tulia Akson.

Na leo nimeona Ruangwa Marathon ikifanyika huko Ruangwa alipotokea waziri mkuu Kassim Majaliwa. Nini kinafanya matukio haya yafanyike wanapotokea viongozi wakubwa tu? Je maeneo mengine hawastahili kuwa na matukio haya?

Je sports complex kubwa ya kimataifa na uwanja wa mpira wa miguu mkubwa kuliko ule wa Amani Zanzibar unaojengwa huko kijijini Kizmkaz ni kwa ushawishi wa nani? Je campus mbili za University of Dar es Salaam zinazojengwa kwa wakati mmoja Ruangwa ni upendeleo au kuna kitu gani?
Majibu ya hizi hoja ni 23 Septemba.
 
Back
Top Bottom