MODERATORS: Tafadhali msiunganishe Uzi huu kwani una umuhimu,unatoa insights kadhaa za miaka mitatu nyuma na yajayo.
Kwa mustakabali mpana wa yanayojiri kwa Slaa,Mbowe,Lissu na CHADEMA kwa sasa,nakuomba ungana nami kwa dakika chache tutafakari na kuamua baada ya kusoma,kutazama na kusikiza mambo haya matano yafuatayo!
1. Sikiliza dakika 5 za Dr Slaa alichokiongea humu kwneye space, tafakari. Tunajua amekamatwa,tunajua amenyimwa dhamana!!
Kwa alichokizungumza humo,alistahili kufuatwa saa 7 usiku kwake mtu ambae amekua Balozi,amekua Katibu Mkuu,Mbunge?!! Kwa nini asingepelekewa wito na akaenda mapambazuko?!! Nani aliekasirika kiasi cha kwenda kumkamata Slaa kama panya road ama jambazi usiku wa manane?!!
2. Tazama clip ya Kisutu mawakili wa Slaa wakieleza sakata na kisa kizima cha Slaa kunyimwa dhamana na mbinu zilizotumika
3. Ikumbukwe Mbowe amekiri kua kabla ya kuachiwa jela alifuatwa na maaskofu wawili na sheikh mmoja ambapo walisema kua wametumwa na Samia kua hawataki kuendelea kumshitaki kwa ugaidi ila akapewa masharti ya kwenda kukutana na muhisani wake huyo,Mbowe alikubali- Je Slaa alichokisema hakiakisi ukweli?!!
Tutazame taarifa rasmi ya siku hiyo baada ya Mbowe kuibukia Ikulu.
4. Ikiwa mdhamini wa Mbowe kumfutia kesi alitoa taarifa kiujumla walikubaliana nini na Mbowe na taarifa bayana inaeleza kua washirkiane,kumbuka baada ya hapo muda mchache Mbowe alilalamikiwa kwenda Kijijini kwao akajenga makazi binafsi ya gjorofa la kifahari huku baadae pia akiomba apewe 150mln cash kwa ajili ya kanisa la Kijijini kwake,ana akapewa na mdhamini yule yule- Slaa anapotosha?!! Mbowe aaminiwe?!!
Haikutosha,baada ya muda mchache Mbowe alimpa na zawadi mtu anaetuhumiwa kua amekua mfadhili wa Mbowe na hatimae Mbowe akiwa Mwanza alisema hadharani kua hawezi kumkosoa Samia,anamuunga mkono Samia na ushahidi huu hapa kwenye clip,Mbowe aaminiwe?!! Mbowe anafanya kazi ya CHADEMA ama ya mdhamini wake?!
5. Kwa kua Dr Slaa ameshikiliwa kwa tuhuma za kusema anapotosha kua Mbowe kapewa fedha za kubaki madarakani, Lissu ambae amejitokeza hadharani na kusema kua Abdul na Mama yake wamepeleka hela za kuhonga watu CHADEMA na yeye alifuatwa kawafukuza- kwa nini Lissu hawamkamati?!! Ama kwa kua kweli Wenje amekiri kua Abdul walienda kwa Lissu ila kuongea fedha za matibabu?!! Je Abdul ni waziri wa fedha ama wa Afya?!! I
Lissu anasemaje kuhusu mwenendo wa Mbowe baada ya kukutana na Samia na kuteta mambo yao?!!
Baada ya kuelekezana kwa viambatanishi kadhaa,ukiwa kama mpenda haki, demokrasia na Mtanzania wa kawaida- Je Mbowe amehongwa?!! Je Mbowe aaminiwe?!! Je Dr Slaa kwa historia yake ya kupinga na kufichua ufisadi kuanzia list ya mafisadi papa mpaka akiwa mbunge, mgombea uraisi,amedanganya umma?!!
Je Watanzania na wajumbe wa mkutano Mkuu CHADEMA- kati ya Lissu na Mbowe- nani anataka kukiua chama?!! Nani apewe kura zote za kukiongoza chama?!!
Tafakuri njema!!
Kwa mustakabali mpana wa yanayojiri kwa Slaa,Mbowe,Lissu na CHADEMA kwa sasa,nakuomba ungana nami kwa dakika chache tutafakari na kuamua baada ya kusoma,kutazama na kusikiza mambo haya matano yafuatayo!
1. Sikiliza dakika 5 za Dr Slaa alichokiongea humu kwneye space, tafakari. Tunajua amekamatwa,tunajua amenyimwa dhamana!!
Kwa alichokizungumza humo,alistahili kufuatwa saa 7 usiku kwake mtu ambae amekua Balozi,amekua Katibu Mkuu,Mbunge?!! Kwa nini asingepelekewa wito na akaenda mapambazuko?!! Nani aliekasirika kiasi cha kwenda kumkamata Slaa kama panya road ama jambazi usiku wa manane?!!
2. Tazama clip ya Kisutu mawakili wa Slaa wakieleza sakata na kisa kizima cha Slaa kunyimwa dhamana na mbinu zilizotumika
3. Ikumbukwe Mbowe amekiri kua kabla ya kuachiwa jela alifuatwa na maaskofu wawili na sheikh mmoja ambapo walisema kua wametumwa na Samia kua hawataki kuendelea kumshitaki kwa ugaidi ila akapewa masharti ya kwenda kukutana na muhisani wake huyo,Mbowe alikubali- Je Slaa alichokisema hakiakisi ukweli?!!
Tutazame taarifa rasmi ya siku hiyo baada ya Mbowe kuibukia Ikulu.
4. Ikiwa mdhamini wa Mbowe kumfutia kesi alitoa taarifa kiujumla walikubaliana nini na Mbowe na taarifa bayana inaeleza kua washirkiane,kumbuka baada ya hapo muda mchache Mbowe alilalamikiwa kwenda Kijijini kwao akajenga makazi binafsi ya gjorofa la kifahari huku baadae pia akiomba apewe 150mln cash kwa ajili ya kanisa la Kijijini kwake,ana akapewa na mdhamini yule yule- Slaa anapotosha?!! Mbowe aaminiwe?!!
Haikutosha,baada ya muda mchache Mbowe alimpa na zawadi mtu anaetuhumiwa kua amekua mfadhili wa Mbowe na hatimae Mbowe akiwa Mwanza alisema hadharani kua hawezi kumkosoa Samia,anamuunga mkono Samia na ushahidi huu hapa kwenye clip,Mbowe aaminiwe?!! Mbowe anafanya kazi ya CHADEMA ama ya mdhamini wake?!
5. Kwa kua Dr Slaa ameshikiliwa kwa tuhuma za kusema anapotosha kua Mbowe kapewa fedha za kubaki madarakani, Lissu ambae amejitokeza hadharani na kusema kua Abdul na Mama yake wamepeleka hela za kuhonga watu CHADEMA na yeye alifuatwa kawafukuza- kwa nini Lissu hawamkamati?!! Ama kwa kua kweli Wenje amekiri kua Abdul walienda kwa Lissu ila kuongea fedha za matibabu?!! Je Abdul ni waziri wa fedha ama wa Afya?!! I
Lissu anasemaje kuhusu mwenendo wa Mbowe baada ya kukutana na Samia na kuteta mambo yao?!!
Baada ya kuelekezana kwa viambatanishi kadhaa,ukiwa kama mpenda haki, demokrasia na Mtanzania wa kawaida- Je Mbowe amehongwa?!! Je Mbowe aaminiwe?!! Je Dr Slaa kwa historia yake ya kupinga na kufichua ufisadi kuanzia list ya mafisadi papa mpaka akiwa mbunge, mgombea uraisi,amedanganya umma?!!
Je Watanzania na wajumbe wa mkutano Mkuu CHADEMA- kati ya Lissu na Mbowe- nani anataka kukiua chama?!! Nani apewe kura zote za kukiongoza chama?!!
Tafakuri njema!!