Haya mazungumzo ndio ya kumkamata Slaa?!! Mbowe kweli anapewa msaada na dola kubaki CHADEMA?!! Mbowe aaminiwe ama amegeuka kua dalali wa watawala?!

Kwenye mariadhiano ya Samiah na Mbowe,Mbowe aliahidi kushirikiana na serikali kwa namna yoyote ile,ndiyo maana Lucas Mwashambwa,Tlahtlah na Choicevariable wako upande wa Mbowe 100%
Na hakika nimegundua tangu last Friday maroboti yote ya Lumumba hapa JF wapo busy kumpigia Mbowe chapuo,ajabu sana wafuasi wa CCM Leo wanataka fulani ndio awe kiongozi wa CHADEMA!!
 
Unamuhusishaje Mbowe na kukamatwa kwa Dr. Slaa? Yaani sasa hivi hata kwako mkilala njaa utasema Mbowe kaficha mchele wote madukani.
 
Anzisha chama chako ukijenge kiyafanye hayo unayotaka. Mbona Zitto alipofukuzwa alianzisha chama chake na kina mtandao nchi nzima?

Kwa nini unalazimisha Mbowe akuachie. chama.
Una maana gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…