WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Ninyi ndiyo bure kabisa hata hitoria ya nchi hamjui.
Msitegemee maendeleo chini ya CCM, Chadema , yani vyama vilivyozaliana kutoka CCM.
Vijana tuliozaliwa 1990s siku tukijitambua na kuanzisha vyama vya upinzani ivyo ndo vitaitoa CCM madarakani. Kataaa CCM, Chadema, AcT na vingine vyote