Haya mnaoilaumu TANESCO mmejibiwa na rais Samia

Haya mnaoilaumu TANESCO mmejibiwa na rais Samia

Ninyi ndiyo bure kabisa hata hitoria ya nchi hamjui.
Msitegemee maendeleo chini ya CCM, Chadema , yani vyama vilivyozaliana kutoka CCM.
Vijana tuliozaliwa 1990s siku tukijitambua na kuanzisha vyama vya upinzani ivyo ndo vitaitoa CCM madarakani. Kataaa CCM, Chadema, AcT na vingine vyote
 
Msitegemee maendeleo chini ya CCM, Chadema , yani vyama vilivyozaliana kutoka CCM.
Vijana tuliozaliwa 1990s siku tukijitambua na kuanzisha vyama vya upinzani ivyo ndo vitaitoa CCM madarakani. Kataaa CCM, Chadema, AcT na vingine vyote

Ukiwa nje ya uwanja unaweza ona mambo mepesi. Ingia ndio utajua wale unaowachukulia pia walipambana kiasi gani.
 
Walete wazabuni serikali ninaogopa nini ushindani
 
View attachment 2844149

Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke.
Biteko hafai.
Biteko ni tatizo.

===
FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo ilitolewa kuhusu elimu na sio taasisi nyingine za serikali. Alichosema Rais ni
"Sio kwenye mitihani tu kwenye maeneo yote lawama zipo tu na ukiona unalaumiwa unafanya vizuri, usipo fanya vizuri watu wanasema chini chini hufanyi vizuri kwahiyo ukiona watu wanasimama na kukulaumu ujue mambo yako supa endelea"

"Lakini hakikisheni majukumu yenu yanaendana na shabaha ya sera ya elimu kama nilivyosema uratibu hususani katika upimaji na umahiri, tungependa kuwa na sera zinazosomana na kukamilishana"
Ameanza lini kubwia ugoro huyu?!
 
Back
Top Bottom