Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha. Munao kaa na kufatilia haya mapenz ya hawa watu hata nyinyi nawaita kwanza wambeya ya mitandaon pili wapuuz hamna kaz ya kufanya.
Majukwaa yako mengi si aende huko.... atuache tusio na kazi tuendelee na umbea wetu...
Unanifurahisha tu majibu yako:-$
Wapenzi wakigombana mnabeba jembe mkalime wakipatana mnabeba kapu kwenda kuvuna..
Maana watu walikaa kusubiria leo itakuwaje..
maneno mazuri ila hata penny aliambiwa na yeye yakamtoa machozi ya furaha
alafu kila bday kunakuwaga na complication.tusubiri bday ya chibu mwezi ujao.sijui atapambiwa maua tena kitandani
Aisee kweli unakumbuka birthday ya Wema mwaka jana,Diamond na Wema zile picha za China,Penny akaambiwa ni movie.Kile kitanda cha Diamond love P.Mapenzi Bwana.Usiusemee moyoHahaaaa umenikumbusha mwaka jana jamani maua kitandani na shuka la kushona.. ..nyie jamani full drama
Mh kuna ukweli flani drama zao hata hazivutii kutafta kiki na wakiona watu wana fatilia ndo wana zidisha visa ili kupata publicity
Kapewa zawadi gani wema ili wambea,wanafiki tufe kabisaa
Ha ha nadhani zawadi alopewa ni maneno kuwaumiza wambea kuwaonyesha wanapendana langu jicho shosti only time will tell
by the way Wema kafikisha miaka mingapi jaman icje kua 21 lols!
maneno mazuri ila hata penny aliambiwa na yeye yakamtoa machozi ya furaha