Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lala we huyo mkongo bwana.domo wapiii...anauwezo...
Waache waje wanadhani insta Huku...watajutaMi nilivyo na roho ngumu kula nimekula nimeshiba,leo id nyingi mpya mpya zimeingiaa kweli team wema nooma sana
Zamu yao itafika tu
jamani Halima kimwana yuko wapi?dada wa diamond
mie ningekuwq chibu lazima ningetaka kujua kwakweli huyo bmw kapewa na nani.
Bado si amini chezea domo wewe hata genge hamfungulii
Umenena kijiji ndo kilakitu...ila hawa na usanii wao hawashindwi tengeneza feki card.tz kilakitu kinawezekana dina.usimsalimie bwana ataringa...Kwa sasa tushangae...ila angemkabidhi.kile.kijiji chake mbweni apo.ingekua sawa ila ivi vigar bila kadi??wema grow up....ukitaka weka kad ya gari nikusalimie
Ndomo nomaa aisee ana maneno huyuu wacha weee
Maigizo Yuko radhi asaidiwe matunzo Mweeeee ...bongo tambaraleUmeonaaa eeee ndio ujue maigizoo ni noomaa
Akishapigiwa Kura anahamia kwingine...kwa mtoto mzuri.yaani Hizi team Mavis...Teamwema walitaka kugoma kupiga kura.ila naona kuanzia leo wataanza kumpigia kura.chibu anaakili kwakweli ya kucheza na jina la wema
Ndomo nomaa aisee ana maneno huyuu wacha weee
Halima atakua kalazwaa aisee
Ha ha ha tena Icu aisee
Nimeona.insta ndomo.karusha limorano alomzawadia..ila.kadi.cjaona...diamond.niambukize ebola.leo
Ana 22 :banghead::banghead::banghead::banghead:
Kesho na kesho kutwa utaskia alipa tu niendeshe kwasababu mskaji wangu...hahaaa.jamani mbona magari ni kitu cha kawaida Kama baiskeli tu.mie nionyeshe nyumba nitakuona wa maana gari?BIG NOYawe ya kwelii tu maana uzuri hua hawafichiii
Kesho na kesho kutwa utaskia alipa tu niendeshe kwasababu mskaji wangu...hahaaa.jamani mbona magari ni kitu cha kawaida Kama baiskeli tu.mie nionyeshe nyumba nitakuona wa maana gari?BIG NO