DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #21
Kwa dunia ya sasa hivi mkuu Curriculum hii ya mfumo kama wa Kenya imepitwa na wakati ndo maana hata kenya nao wameanza kupractise CBC n wao wameanza Mwezi w pili mwkaa huu japo sisi tutaanza miaka ijayo..Hakuna kitu hapo sisiemu nini [emoji117][emoji90][emoji90]tu elimu ya msingi ilitakiwa kuongezwa darasa moja iwe mpaka darasa la 8 ambayo ingekuwa sawa na form 2 ya sasa secondary miaka 4 kisha chuo hiyo secondar zote ziunganishwe .
Primary ibebe hadi kidato cha pili
Secondary ibebe hadi kidato3 cha 6
Hivyo pawe na daraja 3
Shule za msingi zipo mkuu![emoji16][emoji16][emoji16]Sasa itakuwaje kwa sisi Tuliosoma Diploma na Tunafundisha Secondary Mkuu au ndo tutapata RIDANDASII.
Kibanga kampiga mkoloniHistoria ya Tanzania ndiyo lile somo la historia ya mzalendo mwendazake?
Lipo mkuu kwenye Hilo somo jipya la Historia ya Tanzania na Maadili. Humo kuna katikaNilitegemea kuona Somo la Katiba na Sheria tangu shule ya msingi.
Nonsense
Itapendeza likiwekwa vizuri, kwa kweli nafikiri maswala ya katiba na sheria ni muhimu sana, ili jamii ipate uelewa wa kutosha ili kurahisisha maendeleo.Lipo mkuu kwenye Hilo somo jipya la Historia ya Tanzania na Maadili. Humo kuna katika
Mtahamishiwa shule za msingi!! Kuna upungufu mkubwa sana kwenye shule za msingi, tatizo tu ni kwamba serikali haina uwezo wa kuajiri walimu wote wanaohiotajika. Kitakachofanyika ni kuhamishia diploma wote shule za msingi, na kuajiri walimu wengine wa shahada kuziba pengo hilo!!Sasa itakuwaje kwa sisi Tuliosoma Diploma na Tunafundisha Secondary Mkuu au ndo tutapata RIDANDASII.
Ile Physichemistry jamaa alikurupuka..Kwenye masomo ya ufundi hapo inabidi wajipange vinginevyo watajifunza historia ya ufundi.Ufundi ni practical na uwepo wa facilities za fani zote( nimeona na uchimbaji madini umo)
Vinginevyo hii elfu kwa msingi na sekondari kwa mwaka( nazo hufika pungufu) tutarudi kwa Mungai ya Chemiphysics, Religion Instructions na akaua masomo ya ufundi, agricultural science na masomo ya biashara!
Ndyo nahisi watafanya hivyoMtahamishiwa shule za msingi!! Kuna upungufu mkubwa sana kwenye shule za msingi, tatizo tu ni kwamba serikali haina uwezo wa kuajiri walimu wote wanaohiotajika. Kitakachofanyika ni kuhamishia diploma wote shule za msingi, na kuajiri walimu wengine wa shahada kuziba pengo hilo!!
Kuna watu wapo kazini Wana diploma wanahitaji ku upgrade tuuHapo kwenye shahada ya elimu; nadhani wafanye review na kulinganisha na mitaala ya kimataifa. Muda huo (wa miaka miwili) ni mdogo ukilinganisha na "units" wanazotakiwa kucover kabla hawajahitimu. Kama wangetunukiwa "higher diploma", huenda ingewezekana kucover ndani ya miaka miwili, lakini kwa kiwango cha shahada, inabidi wasome angalau miaka mitatu hata kama wametokea kidato cha sita. Vinginevyo, shahada hiyo (ya miaka miwili) haitakuwa recognized mahala pengine (kimataifa), kwani itaonekana shallow (less units).
Ipo.kweny Biashara na uhifadhi wa taarifa za biasharaSijaona elimu ya kodi.
ChaiHAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU
Mzee hiyo confimed na Tayari imejadiliwa Bungeni na waziri mkuu juzi kaipitisha kwahyo kilichobaki ni implementationChai