Haya ndio maboresho ya Mtaala wa Elimu yanayoenda kufanyika Tanzania katika jitihada za kuboresha Elimu

Haya ndio maboresho ya Mtaala wa Elimu yanayoenda kufanyika Tanzania katika jitihada za kuboresha Elimu

HAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU
Habari za mchana WanaJF

Katika kuboresha elimu, Hivi karibuni serikali ilitangaza mabadiliko ya Kisera Na marekebisho ya Mitaala na baadhi ya Sheria ili Elimu iweze kuenda sawa na Sayansi na Technoljia ya Dunia..

Haya hapa chini ni baadhi ya Maboresho yanayoenda kufanyika Katika Elimu ya Msingi, Elimu ya Secondary, Elimu ya Juu ya Sekondary na Ualimu.

SHULE YA MSINGI
  • Elimu ya Awali itaanza mtoto akiwa na umri wa miaka 5
  • Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6 yaani mwisho Darasa la sita tofauti na sasa miaka 7..
  • Kutakuwa na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la sita kabla ya kuingia Form one (Standard six National Assesment)
  • Mtihani wa Kumaliza Shule ya Msingi Utafutwa na hivyo mwanafunzi atakayeanza Darasa la kwanza atalazimika kusoma mpaka kidato cha nne
  • Masomo ya elimu ya Msingi yatakuwa
    • KKK (kusoma,Kuhesabu na kuandika),
    • Jiografia
    • Kiswahili
    • Sanaa na michezo,
    • Hisabati
    • Sayansi
    • Historia ya Tanzania na Maadili,
    • Dini
    • Kingereza
    • Stadi za kazi...
  • Lugha ya kufundishia au kujifunza itakuwa Kiswahili Huku English ikiwa ni somo kwa Shule za kawaida (Kiswahili medium) na Vivyo hivyo Kiswahili kitakuwa kama Somo kwenye shule ya English medium na English kama lugha ya kufundishia.
  • Kingereza (English) kitafundishwa kuanzia Darasa la kwamza kwa shule za kiswahili na kiswahili kitafundishwa Kuanzia Darasa la kwanza kwa shule za English medium.
  • Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni mfano Kichina, Kifaransa, Kiarabu nk.
  • Maarifa ya Jamii na Uraia na maadili Vitafutwa kwa sababu maudhui yake Yameingia kwenye somo Jipya la Historia ya Tanzania na Maadili.
Ziada ni kuwa Coding itaanza kundishwa shule ya msingi

SHULE ZA UPILI (SECONDARY)
  • Mwanafunzi ataingia kidato cha kwanza mara baada ya kumaliza Darasa la sita na kufanya mtihani wa Kuassesiwa..
  • Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato cha nne ili kumuwezesha kujiajiri au kuajiriwa pindi anapomaliza Shule.
  • Elimu ya Secondary itakuwa na mikondo miwili tu Mkondo wa Amali (ufundi) na mkondo wa masomo ya Jumla (Masomo ya kawaida)
  • Mwanafunzi atachagua mkondo kulingana na uwezo wake na matarajio yake ya baadae..
  • mkondo wa amali utakuwa na Masomo ya ufundi na mfano wake ni kama..
    • Kilimo na ufugaji
    • Umakenika
    • Biashara na ujasiriamali
    • Sanaa na ubunifu
    • Elimu ya michezo
    • Ufugaji wa nyuki
    • uchimbaji wa madini
    • Urembo
  • Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua walau masomo manne (4) ya masomo ya jumla na somo moja kwenye masomo ya Amali..
  • Masomo ya jumla kwa wanafunzi wa amali (Ambayo ni lazma)
    • Hisabati
    • Elimu ya Biashara
    • Kingereza
    • Historia ya Tanzania na maadili..
  • Wahitimu wa Mkondo wa amali watapata vyeti viwili
    • Cheti cha kumaliza elimu ya Msingi (CSEE) kutoka NECTA..
    • Cheti cha mafunzo ya ufundi kutoka NACTVET
  • kila shuke itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia Ubora wa maswala ya ufundi..
  • kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi (masomo amali) hii ni kwa ajili ya ufanisi wa fani zinazotolewa ili iendane na eneo husika kwa ubora wa hali ya juu
  • Somo la Civics Litafutwa na litaunganishwa kwenye Historia ya Tanzania na Maadili.
  • Masomo ya lazma yakakuwa 6 badala ya saba ya sasa..
  • Masomo ya Biology, Geography, yatakuwa masomo ya kuchagua kama ilivyokuwa kwa physics na Chemistry kwa sababu maudhui yake yake yamekuwa kwenye masomo jiographia na sayansi ya shule ya msingi, kwa mfno afya ya jamii, afya ya uzazi na magonjwa ambukizi..nk
  • Michepuo katika elimu ya Olevel imeongezeka kutoka michepuo 4 hadi Tisa michepuo iliyoongezeka ni ..
    • Sanaa
    • Lugha
    • Muziki
    • Michezo
    • TEHAMA
  • Masomo ya Olevel (Ya jumla) yatakuwa.
    • Biology
    • Physics
    • Chemistry
    • History
    • Geography
    • Historia ya Tanzania Na maadili
    • Hisabati
    • Kiswahili
    • English
    • Elimu ya Biashara (Commerce)
    • Utunzaji wa Taarifa za fedha (Book keeping)
    • Computer science
    • ELimu ya Dini (Maarifa ya dini ya kiislamu ,Bible knowledge etc)
  • information and computer studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa computer science (somo limesukwa upya)
ADVANCE (ELIMU YA JUU YA SECONDARY NA UALIMU)
  • General Studies G.S Imefutwa kwa sababu maudhui yake yapo katika somo la Historia ya Tanzania na maadili na somo la Mawasiliano ya kitaaluma
  • Kutanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (Academics communication) Hii ni kwa wote Advance na Ualimu
  • Astashahada (cheti) ya ualimu itafutwa Rasmi kisha kutabaki na diplom ya ualimu katika nyanja zifuatazo(Diploma ya elimu ya awali, Diploma ya elimu ya msingi, Diploma ya Elimu makundi maalumu)
  • Vyuo vilivyokuwa vinatoa Astashahada (Cheti) na stashahada ya elimu kwa ujumla (Diploma isio na specification) vitatumika Kutoa Continuos Proffesional Developmemts (CPD).
  • Walimu Wa sekondari wote Watatakiwa kuwa ni wale walimaliza shahada tu.
  • Na watakaosoma Shahada ya Elimu ni wale tu waliomaliza kidato cha sita na shahada hiyo itasomwa kwa miaka miwili.
Asante...

Haya ni masomo kwa mujibu wa Rasimu Ya Elimuu..
Je waalimu wametayarishwa vipi kwa mabadiliko haya, maana nasikia yanaanza Januari?
 
Tuombe uhai..

Tatizo hawakusanyi ushauri kwa Wadau wanaojielewa. Waanzishe online poll pale system ichuje maoni bora na ambayo yapo rated.

Wakae chini na kusuka mikakati kwa phases.. hiyo ni transformation kubwa sana inahitaji muda na kugawa vitu kwa phases mbalimbali..

Najua mpk wanakuj kuimplement Computer language inakuwa sio marketable tena unakuta AI inagonga code fulll kbs ni ww kuingiza proposal yako na AI inakuchapia code..

Sasa hao wanafunzi unawafundisha coding then haina matumizi ki reality.. muda na tech vinasogea havisubiri mtu.
Kwanza hao wataalamu wa Elimy ya Amali walioanzisha watawapata wapi?
 
Nimesikia mkuu,frankly inasikitisha sana.Mkuu we know exactly what is going on,but unfortunately we cannot do anything.This is war against our Country.
Sasa hawa wanaoenda kubebeshwa haya masomo makubwa makubwa kama ya computer ndo hawa waliofeli Hesabu Nchi nzima..
VEry sad
 
Tuombe uhai..

Tatizo hawakusanyi ushauri kwa Wadau wanaojielewa. Waanzishe online poll pale system ichuje maoni bora na ambayo yapo rated.

Wakae chini na kusuka mikakati kwa phases.. hiyo ni transformation kubwa sana inahitaji muda na kugawa vitu kwa phases mbalimbali..

Najua mpk wanakuj kuimplement Computer language inakuwa sio marketable tena unakuta AI inagonga code fulll kbs ni ww kuingiza proposal yako na AI inakuchapia code..

Sasa hao wanafunzi unawafundisha coding then haina matumizi ki reality.. muda na tech vinasogea havisubiri mtu.
Mkuu nakudai unakumbuka lakini ?
😂😂
 
Hili taifa kila jambo ni siasa mpaka kwenye mambo ya msingi kama elimu,afya nk.shule za kata tu zina miundombinu mibaya na hovyo,sasa mambo ya karakana za kisasa yatawezekana kweli ?

Somo la historia ya Tanzania ilikuwa utashi wa mtu mmoja,lakini watu wamefanya agenda ya watu wote,yaani siasa kwa kila jambo
🤣 🤣🤣🤣
 
Ni mauzauza ,ivi waalimu wapo vyuo gani wanaandaliwa?wale wa ufundi au wale was veta watatumuka? Nionavyo Mimi Taifa lingeandaa kwanza waalimu waliofuzu masomo husika ,then program ianze naiona Siasa ikibeba maudhui ya haya mabadiko basi ni mihemuko na siasa.
Ni blah blah kama kawaida.
 
Pia naomba vitabu Kama rich dad poor dady vifundishe shuleni au kuwa recommended.

Huo mtaala kwanini hamjatuhusisha sisi GT wa JF

Tuangalie aina ya vitabu vya watu kusoma
 
HAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU
Habari za mchana WanaJF

Katika kuboresha elimu, Hivi karibuni serikali ilitangaza mabadiliko ya Kisera Na marekebisho ya Mitaala na baadhi ya Sheria ili Elimu iweze kuenda sawa na Sayansi na Technoljia ya Dunia..

Haya hapa chini ni baadhi ya Maboresho yanayoenda kufanyika Katika Elimu ya Msingi, Elimu ya Secondary, Elimu ya Juu ya Sekondary na Ualimu.

SHULE YA MSINGI
  • Elimu ya Awali itaanza mtoto akiwa na umri wa miaka 5
  • Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6 yaani mwisho Darasa la sita tofauti na sasa miaka 7..
  • Kutakuwa na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la sita kabla ya kuingia Form one (Standard six National Assesment)
  • Mtihani wa Kumaliza Shule ya Msingi Utafutwa na hivyo mwanafunzi atakayeanza Darasa la kwanza atalazimika kusoma mpaka kidato cha nne
  • Masomo ya elimu ya Msingi yatakuwa
    • KKK (kusoma,Kuhesabu na kuandika),
    • Jiografia
    • Kiswahili
    • Sanaa na michezo,
    • Hisabati
    • Sayansi
    • Historia ya Tanzania na Maadili,
    • Dini
    • Kingereza
    • Stadi za kazi...
  • Lugha ya kufundishia au kujifunza itakuwa Kiswahili Huku English ikiwa ni somo kwa Shule za kawaida (Kiswahili medium) na Vivyo hivyo Kiswahili kitakuwa kama Somo kwenye shule ya English medium na English kama lugha ya kufundishia.
  • Kingereza (English) kitafundishwa kuanzia Darasa la kwamza kwa shule za kiswahili na kiswahili kitafundishwa Kuanzia Darasa la kwanza kwa shule za English medium.
  • Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni mfano Kichina, Kifaransa, Kiarabu nk.
  • Maarifa ya Jamii na Uraia na maadili Vitafutwa kwa sababu maudhui yake Yameingia kwenye somo Jipya la Historia ya Tanzania na Maadili.
Ziada ni kuwa Coding itaanza kundishwa shule ya msingi

SHULE ZA UPILI (SECONDARY)
  • Mwanafunzi ataingia kidato cha kwanza mara baada ya kumaliza Darasa la sita na kufanya mtihani wa Kuassesiwa..
  • Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato cha nne ili kumuwezesha kujiajiri au kuajiriwa pindi anapomaliza Shule.
  • Elimu ya Secondary itakuwa na mikondo miwili tu Mkondo wa Amali (ufundi) na mkondo wa masomo ya Jumla (Masomo ya kawaida)
  • Mwanafunzi atachagua mkondo kulingana na uwezo wake na matarajio yake ya baadae..
  • mkondo wa amali utakuwa na Masomo ya ufundi na mfano wake ni kama..
    • Kilimo na ufugaji
    • Umakenika
    • Biashara na ujasiriamali
    • Sanaa na ubunifu
    • Elimu ya michezo
    • Ufugaji wa nyuki
    • uchimbaji wa madini
    • Urembo
  • Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua walau masomo manne (4) ya masomo ya jumla na somo moja kwenye masomo ya Amali..
  • Masomo ya jumla kwa wanafunzi wa amali (Ambayo ni lazma)
    • Hisabati
    • Elimu ya Biashara
    • Kingereza
    • Historia ya Tanzania na maadili..
  • Wahitimu wa Mkondo wa amali watapata vyeti viwili
    • Cheti cha kumaliza elimu ya Msingi (CSEE) kutoka NECTA..
    • Cheti cha mafunzo ya ufundi kutoka NACTVET
  • kila shuke itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia Ubora wa maswala ya ufundi..
  • kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi (masomo amali) hii ni kwa ajili ya ufanisi wa fani zinazotolewa ili iendane na eneo husika kwa ubora wa hali ya juu
  • Somo la Civics Litafutwa na litaunganishwa kwenye Historia ya Tanzania na Maadili.
  • Masomo ya lazma yakakuwa 6 badala ya saba ya sasa..
  • Masomo ya Biology, Geography, yatakuwa masomo ya kuchagua kama ilivyokuwa kwa physics na Chemistry kwa sababu maudhui yake yake yamekuwa kwenye masomo jiographia na sayansi ya shule ya msingi, kwa mfno afya ya jamii, afya ya uzazi na magonjwa ambukizi..nk
  • Michepuo katika elimu ya Olevel imeongezeka kutoka michepuo 4 hadi Tisa michepuo iliyoongezeka ni ..
    • Sanaa
    • Lugha
    • Muziki
    • Michezo
    • TEHAMA
  • Masomo ya Olevel (Ya jumla) yatakuwa.
    • Biology
    • Physics
    • Chemistry
    • History
    • Geography
    • Historia ya Tanzania Na maadili
    • Hisabati
    • Kiswahili
    • English
    • Elimu ya Biashara (Commerce)
    • Utunzaji wa Taarifa za fedha (Book keeping)
    • Computer science
    • ELimu ya Dini (Maarifa ya dini ya kiislamu ,Bible knowledge etc)
  • information and computer studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa computer science (somo limesukwa upya)
ADVANCE (ELIMU YA JUU YA SECONDARY NA UALIMU)
  • General Studies G.S Imefutwa kwa sababu maudhui yake yapo katika somo la Historia ya Tanzania na maadili na somo la Mawasiliano ya kitaaluma
  • Kutanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (Academics communication) Hii ni kwa wote Advance na Ualimu
  • Astashahada (cheti) ya ualimu itafutwa Rasmi kisha kutabaki na diplom ya ualimu katika nyanja zifuatazo(Diploma ya elimu ya awali, Diploma ya elimu ya msingi, Diploma ya Elimu makundi maalumu)
  • Vyuo vilivyokuwa vinatoa Astashahada (Cheti) na stashahada ya elimu kwa ujumla (Diploma isio na specification) vitatumika Kutoa Continuos Proffesional Developmemts (CPD).
  • Walimu Wa sekondari wote Watatakiwa kuwa ni wale walimaliza shahada tu.
  • Na watakaosoma Shahada ya Elimu ni wale tu waliomaliza kidato cha sita na shahada hiyo itasomwa kwa miaka miwili.
Asante...

Haya ni masomo kwa mujibu wa Rasimu Ya Elimuu..
Na Mwalimu wa shule ya Msingi atapatikanaje? Maana hawa Ndio wanaotumaliza kabisa Wako chini ya kiwango sana Tutafikiaje malengo ya kupata wahitimu bora wa shule za msingi Kama waalimu ni wabovu?
 
Ningependa nione in deep hiyo computer science wanayosoma ina mawanda gani , sababu computer science tu kwa kuitaja it is more that what we think.

Mitaala ningependa ipunguze miaka ya kukaa darasani iwe 12 tu na pia inclusion ya STEM ipewe kipaumbele otherwise itakua hakuna walichobadili.
Actually inaonekana STEM perse imewekwa pembeni au kusahaulika.
 
Somo la uzalendo kuanzia shule za msingi lingikuwa jambo la msingi sana
 
HAYA NDO MABORESHO YA MTAALA WA ELIMU YANAYOENDA KUFANYIKA TANZANIA KATIKA JITIHADA ZA KUBORESHA ELIMU
Habari za mchana WanaJF

Katika kuboresha elimu, Hivi karibuni serikali ilitangaza mabadiliko ya Kisera Na marekebisho ya Mitaala na baadhi ya Sheria ili Elimu iweze kuenda sawa na Sayansi na Technoljia ya Dunia..

Haya hapa chini ni baadhi ya Maboresho yanayoenda kufanyika Katika Elimu ya Msingi, Elimu ya Secondary, Elimu ya Juu ya Sekondary na Ualimu.

SHULE YA MSINGI
  • Elimu ya Awali itaanza mtoto akiwa na umri wa miaka 5
  • Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6 yaani mwisho Darasa la sita tofauti na sasa miaka 7..
  • Kutakuwa na Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la sita kabla ya kuingia Form one (Standard six National Assesment)
  • Mtihani wa Kumaliza Shule ya Msingi Utafutwa na hivyo mwanafunzi atakayeanza Darasa la kwanza atalazimika kusoma mpaka kidato cha nne
  • Masomo ya elimu ya Msingi yatakuwa
    • KKK (kusoma,Kuhesabu na kuandika),
    • Jiografia
    • Kiswahili
    • Sanaa na michezo,
    • Hisabati
    • Sayansi
    • Historia ya Tanzania na Maadili,
    • Dini
    • Kingereza
    • Stadi za kazi...
  • Lugha ya kufundishia au kujifunza itakuwa Kiswahili Huku English ikiwa ni somo kwa Shule za kawaida (Kiswahili medium) na Vivyo hivyo Kiswahili kitakuwa kama Somo kwenye shule ya English medium na English kama lugha ya kufundishia.
  • Kingereza (English) kitafundishwa kuanzia Darasa la kwamza kwa shule za kiswahili na kiswahili kitafundishwa Kuanzia Darasa la kwanza kwa shule za English medium.
  • Shule zenye uwezo zitafundisha walau somo moja la lugha za kigeni mfano Kichina, Kifaransa, Kiarabu nk.
  • Maarifa ya Jamii na Uraia na maadili Vitafutwa kwa sababu maudhui yake Yameingia kwenye somo Jipya la Historia ya Tanzania na Maadili.
Ziada ni kuwa Coding itaanza kundishwa shule ya msingi

SHULE ZA UPILI (SECONDARY)
  • Mwanafunzi ataingia kidato cha kwanza mara baada ya kumaliza Darasa la sita na kufanya mtihani wa Kuassesiwa..
  • Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza kidato cha nne ili kumuwezesha kujiajiri au kuajiriwa pindi anapomaliza Shule.
  • Elimu ya Secondary itakuwa na mikondo miwili tu Mkondo wa Amali (ufundi) na mkondo wa masomo ya Jumla (Masomo ya kawaida)
  • Mwanafunzi atachagua mkondo kulingana na uwezo wake na matarajio yake ya baadae..
  • mkondo wa amali utakuwa na Masomo ya ufundi na mfano wake ni kama..
    • Kilimo na ufugaji
    • Umakenika
    • Biashara na ujasiriamali
    • Sanaa na ubunifu
    • Elimu ya michezo
    • Ufugaji wa nyuki
    • uchimbaji wa madini
    • Urembo
  • Mwanafunzi wa mkondo wa amali atatakiwa kuchukua walau masomo manne (4) ya masomo ya jumla na somo moja kwenye masomo ya Amali..
  • Masomo ya jumla kwa wanafunzi wa amali (Ambayo ni lazma)
    • Hisabati
    • Elimu ya Biashara
    • Kingereza
    • Historia ya Tanzania na maadili..
  • Wahitimu wa Mkondo wa amali watapata vyeti viwili
    • Cheti cha kumaliza elimu ya Msingi (CSEE) kutoka NECTA..
    • Cheti cha mafunzo ya ufundi kutoka NACTVET
  • kila shuke itakuwa na wakala wa VETA ili kusimamia Ubora wa maswala ya ufundi..
  • kila shule haitakuwa na mikondo zaidi ya miwili ya ufundi (masomo amali) hii ni kwa ajili ya ufanisi wa fani zinazotolewa ili iendane na eneo husika kwa ubora wa hali ya juu
  • Somo la Civics Litafutwa na litaunganishwa kwenye Historia ya Tanzania na Maadili.
  • Masomo ya lazma yakakuwa 6 badala ya saba ya sasa..
  • Masomo ya Biology, Geography, yatakuwa masomo ya kuchagua kama ilivyokuwa kwa physics na Chemistry kwa sababu maudhui yake yake yamekuwa kwenye masomo jiographia na sayansi ya shule ya msingi, kwa mfno afya ya jamii, afya ya uzazi na magonjwa ambukizi..nk
  • Michepuo katika elimu ya Olevel imeongezeka kutoka michepuo 4 hadi Tisa michepuo iliyoongezeka ni ..
    • Sanaa
    • Lugha
    • Muziki
    • Michezo
    • TEHAMA
  • Masomo ya Olevel (Ya jumla) yatakuwa.
    • Biology
    • Physics
    • Chemistry
    • History
    • Geography
    • Historia ya Tanzania Na maadili
    • Hisabati
    • Kiswahili
    • English
    • Elimu ya Biashara (Commerce)
    • Utunzaji wa Taarifa za fedha (Book keeping)
    • Computer science
    • ELimu ya Dini (Maarifa ya dini ya kiislamu ,Bible knowledge etc)
  • information and computer studies (ICS) itabadilishwa na kuitwa computer science (somo limesukwa upya)
ADVANCE (ELIMU YA JUU YA SECONDARY NA UALIMU)
  • General Studies G.S Imefutwa kwa sababu maudhui yake yapo katika somo la Historia ya Tanzania na maadili na somo la Mawasiliano ya kitaaluma
  • Kutanzishwa somo jipya la mawasiliano ya kitaaluma (Academics communication) Hii ni kwa wote Advance na Ualimu
  • Astashahada (cheti) ya ualimu itafutwa Rasmi kisha kutabaki na diplom ya ualimu katika nyanja zifuatazo(Diploma ya elimu ya awali, Diploma ya elimu ya msingi, Diploma ya Elimu makundi maalumu)
  • Vyuo vilivyokuwa vinatoa Astashahada (Cheti) na stashahada ya elimu kwa ujumla (Diploma isio na specification) vitatumika Kutoa Continuos Proffesional Developmemts (CPD).
  • Walimu Wa sekondari wote Watatakiwa kuwa ni wale walimaliza shahada tu.
  • Na watakaosoma Shahada ya Elimu ni wale tu waliomaliza kidato cha sita na shahada hiyo itasomwa kwa miaka miwili.
Asante...

Haya ni masomo kwa mujibu wa Rasimu Ya Elimuu..
Kwa hiyo mnaendelea kutuletea waalimu wasiojua kingereza tena?
Ili Sisi tunaosomesha shule za KAYUMBA Tuendelee kusikia kingereza Mtaa wa jirani?
 
Nimeona hapo et Coding..

Nimecheka sana Usiku huu, nani huyo wa kufundisha coding shule ipo Nyanchanyoko ndani ndani huko?

Alafu unakuta alieweka hilo wazo hata kuandika line moja iliyonyooka ya HTML hawezi..

Tuwe serious kidogo mipango mingiii utekelezaji sasa..
Mipango mingiiii...utekelezaji tutaangalia baadaye.
 
Na Mwalimu wa shule ya Msingi atapatikanaje? Maana hawa Ndio wanaotumaliza kabisa Wako chini ya kiwango sana Tutafikiaje malengo ya kupata wahitimu bora wa shule za msingi Kama waalimu ni wabovu?
Nadhani wamesema kuwa daraja III limefutwa na walimu watatakiwa kuwa na diploma
 
Pia naomba vitabu Kama rich dad poor dady vifundishe shuleni au kuwa recommended.

Huo mtaala kwanini hamjatuhusisha sisi GT wa JF

Tuangalie aina ya vitabu vya watu kusoma
Hawawezi kuweka vitabu muhimu kama hivyo ,wenyewe wanawaza kufundushia mambo ya dini mashuleni yaani ni hopeless kabisa hili taifa.
 
Back
Top Bottom