Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Mfano gari gani hilo lisilo na spare?Wenzako walisema hivyo saivi kutwa kutupigia simu kila siku kutuuliza kama jamaa zetu wa Nairobi wameshapata spare zao maana magari yapo garage miezi mitatu sasa. Tatizo lenu wabongo wabishi.
Sio kweli mkuu. Gari zinazozingua zimejaa tele. Haijalishi mmiliki ana pesa au la.mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?
iko hivi ukiona mtu anakuambia gari fulani inazingua jua yeye mfuko wake ndio unazingua wabongo tunaunga unga sana mambo nissan hazihitaji ubahili na kikizingua kitu toa funga kipya asikutishe mtu hakuna gari mbaya wala inayozungua kama inafanyiwa sevisi vizuri kingine kinachotuangusha ni mafundi nao hawaendi na wakati hawajifunzi mambo mapya kwahyo kuna changamoto kwao kutojua namna ya kurekebisha gari za kisasa
Sawa ndugu.Kila la kheri...jipange tu kwenye bajeti ya service
Nissan Skyline ndio kali zaidi.Weka nissan Terana
Weka nissan Terana
CX-5 shikamoo.
Ile Sky Active 2.2 Wajapan walitulia.
kumbuka malkia alikua anatembelea range rover habu kaa na akili yako ujitafakari.....Sio kweli mkuu. Gari zinazozingua zimejaa tele. Haijalishi mmiliki ana pesa au la.
Unafikiri sababu ya serikali kutotumia Range Rover kama magari ya viongozi ni kwamba haiwezi kuzinunua?
Mimi nikajua labda unayataja hivyo yamepaki uwani kumbe duuuuh kazi kweli kweliNitapambana mpaka nilitie mkononi gari moja.
kuwa makini sana na chuma za kutoka Singapore mkuu, kule nahisi kuna wahuni wengi kama wa hapa bongo tu... niliwahi agiza chuma huko hakuna rangi niliacha kuona. ilikuwa subaru foresterNashukuru sana. Ila plan yangu ni kununua showroom moja kwa moja au kuagiza Japan au Singapore moja kwa moja.
Asante sana
ARV zimepanda kichwaniItakuwa umekulia kijijini wewe. Kwa list hiyo!!! ushamba tu unakusumbua.