Haya ndio magari chaguo langu

Haya ndio magari chaguo langu

Kwa list hiyo ya hayo magari panda panda baiskeli kwanza hamna gari hapo
 
Hili nanunua mwaka huu. Nauza Xtrail nanunua hii baada ya kuvuna Parachichi mwezi wa 7 hapa njombe. Dream
images.jpeg.jpg
 
mkuu unasubiri elimu kutoka kwa maskini aliejikatia tamaa?

iko hivi ukiona mtu anakuambia gari fulani inazingua jua yeye mfuko wake ndio unazingua wabongo tunaunga unga sana mambo nissan hazihitaji ubahili na kikizingua kitu toa funga kipya asikutishe mtu hakuna gari mbaya wala inayozungua kama inafanyiwa sevisi vizuri kingine kinachotuangusha ni mafundi nao hawaendi na wakati hawajifunzi mambo mapya kwahyo kuna changamoto kwao kutojua namna ya kurekebisha gari za kisasa
Sio kweli mkuu. Gari zinazozingua zimejaa tele. Haijalishi mmiliki ana pesa au la.

Unafikiri sababu ya serikali kutotumia Range Rover kama magari ya viongozi ni kwamba haiwezi kuzinunua?
 
Mimi Discovery 4 knob gear au 5 ya 2022 Mungu ajaalie Mwaka huu nimiliki moja
 
Yan me nikiiona Nissan Dualis moyo wangu unaenda mbio mbio
 
CX-5 shikamoo.

Ile Sky Active 2.2 Wajapan walitulia.

Matunzo…, nchi zetu hizi diesel inayokuja mtihani. Usipotoa DPF lazima kuna muda itaanza kukufurahisha. Naihusudu pia ila nikiipata nitafanya dof delete kwanza, then model za nyuma natoa coolant junction ya plastic na kuweka ya metal, mafuta nitaweka PUMA na TOTAL na Engen, service kila baada ya KM 5000 - 6000, Oul ni yake recommended tu.
Hapa unaenjoy Mazda power na fuel economy ya ajabu
 
Nashukuru sana. Ila plan yangu ni kununua showroom moja kwa moja au kuagiza Japan au Singapore moja kwa moja.

Asante sana
kuwa makini sana na chuma za kutoka Singapore mkuu, kule nahisi kuna wahuni wengi kama wa hapa bongo tu... niliwahi agiza chuma huko hakuna rangi niliacha kuona. ilikuwa subaru forester
 
Back
Top Bottom