Pre GE2025 Haya ndio maisha ya walimu waliomchangia Rais Samia Fomu ya Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa kweli tuna shida. Mtu anajenga nyumba parking anajua itakuwa barabara, mtu anajenga shule hafikirii choo kitatumika kipi.
 
Kwahiyo lawama inaenda kwa waalimu au viongozi watendaji, wanafunzi 1500 hao wazazi watashindwa je kujijengea matundi ya vyoo kama sio upumbavu wa wazazi pamoja na viongozi, ada bure loh kweli hi nchi ina laana.
 

Kwani magufuli hakuliona hilo mpaka mumlaumu huyu mama!

Ungekuja na malalamiko ya mama kumzawadia yule kafiri wa roma zawadi ya msalaba hapo ningekuelewa.
 
Kwahiyo lawama inaenda kwa waalimu au viongozi watendaji, wanafunzi 1500 hao wazazi watashindwa je kujijengea matundi ya vyoo kama sio upumbavu wa wazazi pamoja na viongozi, ada bure loh kweli hi nchi ina laana.

Huyu mama mpaka astaafu atakua hoi bi taaban, yani hawa wenzetu ni kulaumu na kulialia japo sio wote.

Wakati wa Magu walikua wapi kulaumu! Au hii shule imejengwa wakati wa mama!
 
Kwani magufuli hakuliona hilo mpaka mumlaumu huyu mama!

Ungekuja na malalamiko ya mama kumzawadia yule kafiri wa roma zawadi ya msalaba hapo ningekuelewa.
Huyu mama mpaka astaafu atakua hoi bi taaban, yani hawa wenzetu ni kulaumu na kulialia japo sio wote.

Wakati wa Magu walikua wapi kulaumu! Au hii shule imejengwa wakati wa mama!
Unakumbuka mkuu wa mkoa wa Dar kipindi hicho kunenge aliambiwa nini na MAGUFULI kuhusu shule ambapo madarasa yalikuwa na hali mbaya.

Alipewa wiki mmoja afanye kazi usiku na mchana kazi ikamilike.

Siyo huyu BITOZO kazi kuzura tu hana la maana analofanya Tofauti na kutumia kodi zetu bovyo hovyo
 
Kwahiyo lawama inaenda kwa waalimu au viongozi watendaji, wanafunzi 1500 hao wazazi watashindwa je kujijengea matundi ya vyoo kama sio upumbavu wa wazazi pamoja na viongozi, ada bure loh kweli hi nchi ina laana.
Hayo ma V8 yanayopata ajari kwenye msafara wa makonda si yauzwe tu watoto wapate shule
 
Hakuna Mwl alichangia fedha zile zilikuwa Sanaa za Kaole club
 
Wao waliwezaje kujenga Shule na hawakufikiria mahitaji ya Choo?

Bado Tanzania kuna ujunga kiasi hiki?

Kweli ccm ni laana.
 
Kazi ya Ualimu kwa kweli si wito ni Laana hasa hapa Tanzania.
Tema mate chini mkuu... Nje ya mada kuna mbunge ametoa pendekezo bungeni jana kwamba ili tuachane na ujenzi wa madarasa ambao hauna mwisho, wanafunzi wawe wanasoma kwa shift, yaani wengine waje J3, wengine J4, wengine asubuhi wengine mchana, toa maoni yako mkuu..
 
Kwahiyo lawama inaenda kwa waalimu au viongozi watendaji, wanafunzi 1500 hao wazazi watashindwa je kujijengea matundi ya vyoo kama sio upumbavu wa wazazi pamoja na viongozi, ada bure loh kweli hi nchi ina laana.
Na kodi wanazolipa kila uchao, mikopo ya serikali, pesa za msaada za Covid nk zinaenda wapi? Si tumeambiwa royo tua imeongeza watalii na mapesa kibao? Au ndo zinaenda kununua ndege ya viongozi?
 
Huyu mama mpaka astaafu atakua hoi bi taaban, yani hawa wenzetu ni kulaumu na kulialia japo sio wote.

Wakati wa Magu walikua wapi kulaumu! Au hii shule imejengwa wakati wa mama!
JPM hakulaumiwa? Labda kama ulikuwa unaishi Ukraine [emoji1255]!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…