bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kodi zinanunua v8 wao waendelee kutesekaPumba wewe. Wazazi wanalipwa Kodi, serikali itumie Kodi zao. Wao wapande V8 wengine wateseke na michango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kodi zinanunua v8 wao waendelee kutesekaPumba wewe. Wazazi wanalipwa Kodi, serikali itumie Kodi zao. Wao wapande V8 wengine wateseke na michango.
Kuhus kuja asubuh na mchana mbn huu utaratibu ulikuwepo.. nimesoma shift ya mchana nilikuw naingia saa 4/6 mpk saa 12 jion na wale wa asubuh walikuwa wanatoka saa 6/8 mchana.Tema mate chini mkuu... Nje ya mada kuna mbunge ametoa pendekezo bungeni jana kwamba ili tuachane na ujenzi wa madarasa ambao hauna mwisho, wanafunzi wawe wanasoma kwa shift, yaani wengine waje J3, wengine J4, wengine asubuhi wengine mchana, toa maoni yako mkuu..
Ule mchango wa ile fomu ulikuwa wa mchongo! Kuna kundi kubwa sana la walimu wanaojitambua hawakushirikishwa kabisa kwenye huo mchongoNchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?
Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!
Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?
Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?
Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.
View attachment 2904572
Kazi ya Ualimu kwa kweli si wito ni Laana hasa hapa andika hapa ni mchango w
Na walimu nao watakuwa na shift?Kuhus kuja asubuh na mchana mbn huu utaratibu ulikuwepo.. nimesoma shift ya mchana nilikuw naingia saa 4/6 mpk saa 12 jion na wale wa asubuh walikuwa wanatoka saa 6/8 mchana.
Kuhusu shift sioni tatizo kabisa.. ni kupangilia tu siku mtoto akiwa OFF basi anajaziwa assignments za kutosha ili next day atakayoenda wafanye corrections na kuendelea na ratiba zingine..
Mkuu wewe uko dar eti? Huku kijijini mzazi ukimwambia atoe 10,000 inabidi usubiri ajichange kwa miezi 6 ndio maisha ya hukuHuo ni uzembe wa wazazi wao wanashindwa kuchangia elf 10 kila mtoto wajenge choo
Hata kama ni kwa mwaka lakini wachangie maendeleo yaoMkuu wewe uko dar eti? Huku kijijini mzazi ukimwambia atoe 10,000 inabidi usubiri ajichange kwa miezi 6 ndio maisha ya huku
Choo ukisubiri kwa mwaka?Hata kama ni kwa mwaka lakini wachangie maendeleo yao
KUTOA ni moyo si utajiri.Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?
Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!
Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?
Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?
Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.
View attachment 2904572
Sasa watafanyeje kama hawana uwezo hata wa kufyatua tofali za kuchoma na mbao poriniChoo ukisubiri kwa mwaka?
Full time.. maana ni kuanzia saa 2 mpk saa 12Na walimu nao watakuwa na shift?
Mkurugenzia anatembelea gari ya Mil 600Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?
Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!
Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?
Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?
Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.
View attachment 2904572
Acha maneno ya shombo ,au ndo dini yako inakufundisha kuchukia watu wengine?Kwani magufuli hakuliona hilo mpaka mumlaumu huyu mama!
Ungekuja na malalamiko ya mama kumzawadia yule kafiri wa roma zawadi ya msalaba hapo ningekuelewa.
Na aliyenga shule bila choo yeye siye mzembe!!??Huo ni uzembe wa wazazi wao wanashindwa kuchangia elf 10 kila mtoto wajenge choo
Hakuna elimu bure,elimu ni gharamaNa aliyenga shule bila choo yeye siye mzembe!!??
Serikali inayokata kodi wazazi wa wanafunzi wanaosoma hapo siyo zembe!!??
Unaelewa nini maana ya elimu bure!!??
unazungumzia walimu wa sek,primari au vyuo?Kazi ya Ualimu kwa kweli si wito ni Laana hasa hapa Tanzania.