Pre GE2025 Haya ndio maisha ya walimu waliomchangia Rais Samia Fomu ya Urais 2025

Pre GE2025 Haya ndio maisha ya walimu waliomchangia Rais Samia Fomu ya Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tema mate chini mkuu... Nje ya mada kuna mbunge ametoa pendekezo bungeni jana kwamba ili tuachane na ujenzi wa madarasa ambao hauna mwisho, wanafunzi wawe wanasoma kwa shift, yaani wengine waje J3, wengine J4, wengine asubuhi wengine mchana, toa maoni yako mkuu..
Kuhus kuja asubuh na mchana mbn huu utaratibu ulikuwepo.. nimesoma shift ya mchana nilikuw naingia saa 4/6 mpk saa 12 jion na wale wa asubuh walikuwa wanatoka saa 6/8 mchana.

Kuhusu shift sioni tatizo kabisa.. ni kupangilia tu siku mtoto akiwa OFF basi anajaziwa assignments za kutosha ili next day atakayoenda wafanye corrections na kuendelea na ratiba zingine..
 
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

View attachment 2904572
Ule mchango wa ile fomu ulikuwa wa mchongo! Kuna kundi kubwa sana la walimu wanaojitambua hawakushirikishwa kabisa kwenye huo mchongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya Ualimu kwa kweli si wito ni Laana hasa hapa andika hapa ni mchango w

Kuhus kuja asubuh na mchana mbn huu utaratibu ulikuwepo.. nimesoma shift ya mchana nilikuw naingia saa 4/6 mpk saa 12 jion na wale wa asubuh walikuwa wanatoka saa 6/8 mchana.

Kuhusu shift sioni tatizo kabisa.. ni kupangilia tu siku mtoto akiwa OFF basi anajaziwa assignments za kutosha ili next day atakayoenda wafanye corrections na kuendelea na ratiba zingine..
Na walimu nao watakuwa na shift?
 
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

View attachment 2904572
KUTOA ni moyo si utajiri.

Wacha wachange.
 
Nchi hii wajinga ni wengi sana. Changamoto kama hizi serikali haijui?

Ila ukilima bangi hata robo heka popote lazima wajue, upuuzi mkubwa!

Halafu hao walimu waliomchagia Rais Samia form ya Urais hiyo pesa kwanini isingepelekwa huku kuwasaidia walimu wenzao?

Au zile millioni kumi kumi za magoli ya Simba na Yanga huwa zinasaidia nini kwenye jamii tofauti na kutapanywa tu?

Masikitiko makubwa ni kwamba, hata Rais mwenyewe alipokea hiyo hela kutoka kwa watu wasiojielwa wanajipendekeza bure.

View attachment 2904572
Mkurugenzia anatembelea gari ya Mil 600
DC anatembelea gari la Mil 600
RC anatembelea gari la Mil 600
Mbunge anatembelea Gari la Mil 600
Mbunge analipwa Mil 11 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom